ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,675
Zidane yupo wapi siku hiziZidane na Casillas wamekuja uwanjani kuwakabidhi Benzema Courtois tunazo zao.,
Zidane yupo wapi siku hiziZidane na Casillas wamekuja uwanjani kuwakabidhi Benzema Courtois tunazo zao.,
Sijui anachofanya kwasasa, ila bado anakaa Madrid ma familia yake.,Zidane yupo wapi siku hizi
Kijana ameachia mkwaju hata golikipa mwenyewe hakuuona., Kijana anakuja vizur sana.My favourite baller,Federico Valverde,lazima afanye mambo leo!
Huyu jamaa..he is so industrious,nina admire sana work rate na passion yake!Kijana ameachia mkwaju hata golikipa mwenyewe hakuuona., Kijana anakuja vizur sana.
Kesho tutakosa huduma ya Modrić, Benzema, Valverde na Ceballos.,