Kwa wanaomjua Di zerbi anajua Sana kuliko hata Potter ,Brighton ni wa moto, wanang'ata, hawapulizi.. Ila itabidi wafe tu hakuna namna.
Soka linalomwaga hapa, sipingi, kuna vitu naviona, huyu kucha mzuri anafundisha soka zuri.Kwa wanaomjua Di zerbi anajua Sana kuliko hata Potter ,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa niaba yako ngoja na mimi nimuombee tu dua dogo usajili wake ufanikiwe, maana dogo Mudy anateseka na Arsenyani na Aaron Arsenal nae anateseka na dogo Mudy.[emoji1787][emoji1787]mm nimeleta update zake tu ndugu
Tumeshawakosa wachezaji wengi, hatakuwa wakwanza
Kwao huko Putin anawanyunyuzia tu mioto kutoka mawinguni, lazima awe chawa kwelikweli ili afanikiwe kuondoka kwenye uwanja wa vita, la sivyo yule comedian anaweza kuamrisha wachezaji wote waende frontline kwenye mapambano.Dogo anawangangania kinyamaView attachment 2464794
Mwa-City inashabikiwa na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000 hadi hivi sasa na havina tofauti na mashabiki wa Azam FC, na ukimkuta Mtu mzima mwenye akili timamu kabisa anashabikia Mwa-City basi ujue kabisa sababu kuu ni;Tena wamo humu humu jukwaani kwetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Flano na OllaChuga Oc
Arsenal haina shabiki kilaza kama wewe, punguza mahaba na uchawa sababu ya mkeka, ili usijewapatia mikosi Arsenal na wakakosa kabisa ubingwa wa EPL 2022/2023.Chumaaa [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] arsenal ni tamu kuliko tendo la ndoa
Tupen kombe letu [emoji471][emoji471]
NO JESUS NO PROBLEM
Sub ya Tierney na Tomiyasu inataka kuleta janga