Timu inapopitia mapito hata kama akija Pep Guardiola bado tutateseka... Kiufupi Simba SC inatakiwa ifanye maamuzi magumu hasa kwenye usajili, iache huruma... Fumua kikosi chote, kisha ingiza maingizo mapya!
Bado tuna nafasi ya kusahihisha makosa yetu.. Kukosa mapinduzi isiwe sababu ya kutoka...
Mbona hujaeleza unaiwezaje kompyuta?
Fafanua kidogo mkuu mana yawezekana unadiscourage kitu usichokijua...
Mm nahis huijui kompyuta ndio maana hujaisoma!
Nitamwoa nitakayependa kutoka moyoni na atakayenipenda pia...
Hivyo vigezo vyako peleka shuleni watoto wakajibie mtihani, mahusiano siyo kama unavyoyafikiria... Si jambo la kufikirika kama unavyodhani.
WANAWAKE WOTE WANAFAA KUOLEWA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.