Ni *148*88# apo unaweza kuona mb zimebaki kiasi ganiAir tel salio la kifurushi cha chuo mbona kinasua? Nijuze kama wamebadilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuuKama unatumia smartphone huna haja y kuulizia umetumia mb ngapi unaweza kutumia huduma y data usage kwenye setting
Kwani na wewe ni mwanafunzi..? nadhani walikuwa wanaweka offer za fiesta mzigo ukazinguaNilikuwa najaribu kujiunga tigo vifurushi vya chuo kwa namba ile ya *148*00# naona ile menyu ya university offer haipo
Sijui kwenye bando itakuwaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa line zao napata wapi..maana voda washaanza kunizowea
Mkuu iyo ni line ya chuo...kama una mtu yuko chuo anaweza kukusajilia tuu...Hawa line zao napata wapi..maana voda washaanza kunizowea
Mashirika ya serikali huwaga soyaamini hata kidogo. Wanasubiri muwe wengi ili huduma izolotettcl kiboko
Nna dem chuo..ngoja nimwite nimchungulie then anisajilieMkuu iyo ni line ya chuo...kama una mtu yuko chuo anaweza kukusajilia tuu...
Hata halotel walianza hivi hivi...wakasepa na kijiji...Ila sa hivi wamejisahau na Mb wamepunguzaMashirika ya serikali huwaga soyaamini hata kidogo. Wanasubiri muwe wengi ili huduma izolote
Mfano ni Tanesco. Wanafanya wanachojisikia. Wakiamu kukata wanakata muda wowote.
Mpaka wajirekebishe hawa wengine ndo nitajua sasa mashirika yetu yapo serious
Kwelii mkuu..nchi za wenzetu suala LA internet ni gharama sanaMushukuru Mungu TANZANIA mitandao very cheaper aise. Ila wasije wakatubadilikia kwa baadae...
Nch za wenzenu zipiKwelii mkuu..nchi za wenzetu suala LA internet ni gharama sana
Hii nzuri.Voda chuo karibu pm vifurushu vya chuo vyente dk na mb nyingi
-kwa line mpya na kuunganishwa bei 2000 tu
Kwelii mkuu..nchi za wenzetu suala LA internet ni gharama sana