Recent content by Jackson QUECA

  1. Jackson QUECA

    Kamfumania mke wake na mfanyakazi wake wa bustani

    Mkuu kwa upand wangu msaliti hana nafasi,mwachie nyumba na Mali baadhi kwa watoto,then anza maisha mapya.NOTE: AMANI NA UTULIVU WA MOYO “NASFI” nibola sana kuliko kufa na tai shingon
  2. Jackson QUECA

    Wanaosema kazi au ajira hakuna, tuambieni mnataka kazi zipi?

    Maslayi madogo kazi ya tembo, mshahala wa sungura.
  3. Jackson QUECA

    Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    Mkuu Mali zinatafutwa Cha msingi afya Yako na family Yako uza nyumba au kodisha,tafuta kazi nyingine ya kufanya,kama utauza make sure chakula nunuwa Cha kutosha
  4. Jackson QUECA

    Nimefika mwisho wa kufikiri.... Nifanyeje? Naomba msaada wako

    Aise ungekuwa Dar angalau,hila pole sana
  5. Jackson QUECA

    Nimefika mwisho wa kufikiri.... Nifanyeje? Naomba msaada wako

    Sasa unashangaa Kuanza umri uwo,Mimi nimeanza na miaka tisa nafuga kuku,bata,na bustan nalima na fika miaka 10 napewa duka la Mangi nanza kuuza.
  6. Jackson QUECA

    Hakuna Bilionea wa Kazi Halali, Formula ya Siri ya Utajiri Ambao Hamuambiwi popote zaidi yangu

    Sikupingi hila kila mtu na mtazamo wake. Kwa mtazamo wangu mpka sasa Amani na utulivu wa nafsi “Moyo” ni bora kuliko kituchochote, uwa na falsafa zangu, baadhi ambazo ni. 1/Chakula ndy ntapambana kwangu hisiwe tatizo nikauza utu wangu. 2/Mali hapa Cha mtu Mavi hivyo ntajitahidi kutafuta vya...
  7. Jackson QUECA

    Naombeni ushauri nina mtaji wa 50,000 (Shilingi elfu hamsini)

    Mkuu unakitika Cha 50000.jalibu kutafuta chimbo hasa uswahilini kama manzese,mabibo pand za viena hotel haza kukaanga kuku na kuuza vigodi haza broiler 2=16000,jiko nenda watu Wana uza used 10000 utapata,ndizi na viungo nenda soko la mabibo 10000 manzanga yote yanatosha, then jitahidi kuwa msafi...
  8. Jackson QUECA

    Kijana usiwe kataa ndoa ni hatari inafupisha maisha

    Now una mdagani kwenye usherati wenu.
  9. Jackson QUECA

    ⚡ Gubu la Kike; Uhusiano Siyo Vita! ⚡

    👆Hiiii code wachache sana watakayo hielewa.
  10. Jackson QUECA

    Jamani Mimi siyo Malaya, tuheshimiane

    Ndy process zipoje mshenga nimepe kianzio
  11. Jackson QUECA

    Jamani Mimi siyo Malaya, tuheshimiane

    Aise mali ni mpya au ntakuta used 🤣.
  12. Jackson QUECA

    Jamani Mimi siyo Malaya, tuheshimiane

    Mary mrembo nataka nikuowe upotayali.
  13. Jackson QUECA

    Mtu ambaye humuwezi akakuletea mabavu huwa unajitetea vipi?

    One mistake one goal.Kila mtu uwa na udhaifu wake hivyo jitahid kumsoma kabda ya kupambana naye ni hivyo, Mimi uwa na slogan “Aduwi hunaye mudu usimwachie Mungu ”.
Back
Top Bottom