Kuwa YATIMA aise nilipitia maisha ya magumu mno,Mungu kwanza,nidhamu,na juhudi binafsi, mwisho maisha ni Yako,walasiyo ya Baba Wala Mama Yako wala ndugu zako.
1/uwaminifu kwako na watu wengine.
2/Nidhamu yak upande wa uchumi
—kutumia pesa
—Kuzalisha pesa
—kutunza pesa
3/kuwa na ufahamu wa kutosha kwa jambo unalotengemea kufanya mfn (kilim, biashara,ufugaji,).
4/Ongeza juhud na maalifa,kwa uwo ufahamu wa jambo usika,then bahati automatic hunakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.