Mkuu kwa upand wangu msaliti hana nafasi,mwachie nyumba na Mali baadhi kwa watoto,then anza maisha mapya.NOTE: AMANI NA UTULIVU WA MOYO “NASFI” nibola sana kuliko kufa na tai shingon
Mkuu Mali zinatafutwa Cha msingi afya Yako na family Yako uza nyumba au kodisha,tafuta kazi nyingine ya kufanya,kama utauza make sure chakula nunuwa Cha kutosha
Sikupingi hila kila mtu na mtazamo wake. Kwa mtazamo wangu mpka sasa Amani na utulivu wa nafsi “Moyo” ni bora kuliko kituchochote, uwa na falsafa zangu, baadhi ambazo ni.
1/Chakula ndy ntapambana kwangu hisiwe tatizo nikauza utu wangu.
2/Mali hapa Cha mtu Mavi hivyo ntajitahidi kutafuta vya...
Mkuu unakitika Cha 50000.jalibu kutafuta chimbo hasa uswahilini kama manzese,mabibo pand za viena hotel haza kukaanga kuku na kuuza vigodi haza broiler 2=16000,jiko nenda watu Wana uza used 10000 utapata,ndizi na viungo nenda soko la mabibo 10000 manzanga yote yanatosha, then jitahidi kuwa msafi...
One mistake one goal.Kila mtu uwa na udhaifu wake hivyo jitahid kumsoma kabda ya kupambana naye ni hivyo, Mimi uwa na slogan “Aduwi hunaye mudu usimwachie Mungu ”.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.