Nakubaliana n hili la bongo zozo huyu jamaa ni very passionate na nchi yetu,yan the whole game alikua kivutio kwa fans wa avfc
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliwaletaje watu wasio makini wapigiwe kura na bunge,hao makini n wakina nani,hii inaonyesha kwamba kuna watu waaminika wao ni bora kulko wengne ndan ya CDM
Mie naamin kabisa,uislamu umekataza kufanya dhulma dhidi ya mwengine na kuwalinda wanyonge.Sasa haya ya BOKO HARAMU naamin wao n xtremist na hawa represent waislamu kwa kuwa kama waislamu wangekuwa extremist nsdhan dunia ingekuwa mahali pa gumu sana pa kuishi au hii ya wakristo kuwaua na kula...
Hebu tupeni proof kwamba alipo ingia ndani alikutana na mwakyembe maana katka hiyo clip naona akielekezwa mlango wa kuingia,maswali ni je niaje kama alikuwa anelekezwa kwenye eneo la press conference pili kuna udhibitisho gani kama wale watu ni usalama wa taifa na sio personal guard?hii clip...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.