KUDOLE CHA MWISHO
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 410
- 888
Habar wanajamvi
Swali langu kwenu ni kwanini tusimtumie Bongo Zozo kwa kutangaza utalii? Huyu bwana ana Utanzania kuliko watanzania wenyewe
Jana alikuwa na bendera ya taifa pale Uk akiangalia mechi ya kwanza ya Samatta huko EPL. Mtu kama Harmonize, Kitenge na wengine walikuwa wanaonyesha meno tu uwanjani!
Wizara husika kwanini tusimpe huyu jamaa hata nguvu ya kutangaza utalii kwa sababu yupo committed na nchi yetu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali langu kwenu ni kwanini tusimtumie Bongo Zozo kwa kutangaza utalii? Huyu bwana ana Utanzania kuliko watanzania wenyewe
Jana alikuwa na bendera ya taifa pale Uk akiangalia mechi ya kwanza ya Samatta huko EPL. Mtu kama Harmonize, Kitenge na wengine walikuwa wanaonyesha meno tu uwanjani!
Wizara husika kwanini tusimpe huyu jamaa hata nguvu ya kutangaza utalii kwa sababu yupo committed na nchi yetu?
Sent using Jamii Forums mobile app