Duh, karibu- wanikumbusha nyamizi, na dada ake kipepe, mwee!Wenyewe mpoo? Hodi mpaka ndani,wanajamii,Invisible naomba hifadhi tafadhari.
Duh, karibu- wanikumbusha nyamizi, na dada ake kipepe, mwee!
Hivi ndugu yangu sikonge upo mbona kimya mimi kwa sasa nipo Sikonge mjini Asali kwa wingi na uyoga lakini pia natumia frusa hii kumkaribisha huyo ndugu yetu Nyamizi karibu saanaMhhh, Nyamizi ndani ya JF.
Karibu sana mwenye jamvi.
Hilo jina lako, kali sana, lanikumbusha shangazi.....
Najua sikonge ulikuwa unataka kuandika MWILWA Na siyo MUILWA kama ulivyoandikaSai,
Huyo dada Kipepe au Kapemba? Mie hapo kakosekana NYANSO na Muilwa, timu iwe imetimia.
Mhhh, Nyamizi ndani ya JF.
Karibu sana mwenye jamvi.
Hilo jina lako, kali sana, lanikumbusha shangazi.....
Unaomba hifadhi ya nini?Wenyewe mpoo? Hodi mpaka ndani,wanajamii,Invisible naomba hifadhi tafadhari.