Kwa hizi kauli zako za kihuni Ni HR gani au raia gani anaejielewa ataweza kukupa hiyo kazi au mishe...Jaribu kuficha Negative behaviors zako ukiweza hilo itakusaidia sana.
mtu amemaliza form 4 anaenda kusomea mfano Certificate na diploma in Community Development kumbuka hiyo ni profession anasomea tofauti na wewe uliyesoma History,geography na language...hivyo basi usiteseke na watu wenye proffesion zao na walioenda field work
[ushasema zamani mkuu now sio zaman bossQUOTE="Mayor Slum, post: 30382346, member: 407679"]Kwa nn hii kitu inakuwa hivi sasa,
Sasa. Form 5 na 6haina Maana,Ila ndio ya yule amefauli vizuri ,
Hata Mm huwanajilaumu sana nikikutana na nafasi za hivyo (zinazohitaji watu WA diploma) unasema moyoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.