Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Hii ndio demokrasia na uhuru na haki kwa wapiga kura wananchi baada ya kupiga kura kura zinahesabiwa huku raia wakishuhudia bila bughudha yoyote wala bunduki
Hii ndio demokrasia na uhuru na haki kwa wapiga kura wananchi baada ya kupiga kura kura zinahesabiwa huku raia wakishuhudia bila bughudha yoyote wala bunduki
Hii ndio demokrasia na uhuru na haki kwa wapiga kura wananchi baada ya kupiga kura kura zinahesabiwa huku raia wakishuhudia bila bughudha yoyote wala bunduki
Hii ndio demokrasia na uhuru na haki kwa wapiga kura wananchi baada ya kupiga kura kura zinahesabiwa huku raia wakishuhudia bila bughudha yoyote wala bunduki
Eti huyu ndiyo ametoa pointi ya kutetea chama chake CCM, aisee huu ni utetezi?Kaombe uraia utapewa tu
Mkuu Kwahiyo ikifanyika hivyo kwa Tanzania ni vibaya au ? unaona nani anafaidika kwa kutokufanya hivyo.Kaombe uraia utapewa tu
kinachohitajika ni uwazi tuSijaelewa ao ni mawakala au watu wote waliopiga kura?
Hii ndio demokrasia na uhuru na haki kwa wapiga kura wananchi baada ya kupiga kura kura zinahesabiwa huku raia wakishuhudia bila bughudha yoyote wala bunduki
hamia wewe na kichaa mwenzio jiwe .Si uhamie Nigeria basi; tena uende ukaishi Maiduguri.