wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,152
- 28,530
Mi niko mrengo wa kati
pita kushoto fala wewe
pita kushoto fala wewe
amin mkuu..ila raia hatupendani kabisa unakuta watu kibao humu wanazo harakati ila angeomba shori hapa shobo dundo
pita kushoto fala wewe
Yeah nikwelisure bro..lazima uwe angalau na pa kuanzia
huna lolote we fala ungekua na msaada hapa ungetoa..siabudu mtu pita ivi na mia fala wewePole sana una shida alafu unamtukana mtu hata humjui kisa tuu hasira zako za maisha...
Any way nimekusamehe ila kwa kuwa ushanitukana fala asnte nashukuru acha nikae na ufala wangu endekea kusota na mi bahasha yako ya A4.
mashoga ndo wapo wanakuwaga mrengo wa kati so bila shaka na wewe ni choko bila kukosea
huna lolote we fala ungekua na msaada hapa ungetoa..siabudu mtu pita ivi na mia fala wewe
huna lolote wewe kapuku tu kama mimi wenye msaada hawapo hivi..pole kawapange mazwazwa wengine mi mtoto wa town sina na naishi usinitishe narudia tena wewe ni fala na usikomenti tena kwenye huu uzi maana huna msaada hata wa mawazo pita kushoto nyumbu..nyambafAise ndo nyie mnaongeaga peke yenu barabarani na elimu zenu kwa sababu ya dharau zenu

eti utanisaidia kamnunulie pedi manzi mi huna cha kunisaidiahuna lolote wewe kapuku tu kama mimi wenye msaada hawapo hivi..pole kawapange mazwazwa wengine mi mtoto wa town sina na naishi usinitishe narudia tena wewe ni fala na usikomenti tena kwenye huu uzi maana huna msaada hata wa mawazo pita kushoto nyumbu..nyambafeti utanisaidia kamnunulie pedi manzi mi huna cha kunisaidia
Kwa hizi kauli zako za kihuni Ni HR gani au raia gani anaejielewa ataweza kukupa hiyo kazi au mishe...Jaribu kuficha Negative behaviors zako ukiweza hilo itakusaidia sana.amin mkuu..ila raia hatupendani kabisa unakuta watu kibao humu wanazo harakati ila angeomba shori hapa shobo dundo
Vijana wa siku hizi nidhamu hawana kabisa mkuu, halafu anategemea kupata connection ya kazi kwa lugha zake hizi.Pole sana una shida alafu unamtukana mtu hata humjui kisa tuu hasira zako za maisha...
Any way nimekusamehe ila kwa kuwa ushanitukana fala asnte nashukuru acha nikae na ufala wangu endekea kusota na mi bahasha yako ya A4.
nyie ndo waganga njaa wenyeweVijana wa siku hizi nidhamu hawana kabisa mkuu, halafu anategemea kupata connection ya kazi kwa lugha zake hizi.

amna cha connection wala nini..piteni hivi watakuja wenye kutaka kusaidia ati mnajikuta wastaarabu shubaaamit piteni kule nyuzi za kuchangia zipo kibao huu niachieni na wenzangu waliopo real sihitaji hizo porojo zenu nuktaWewe dogo kweli kichwani hamna kitu kabisa, unashindwa hata kufikiria kawaida tu, lets say kweli mimi ni mganga njaa sina connection ya kukupa wala chochote, sasa huyo mwenye connection na anaetaka kukupa kazi akisoma haya majibu yako unadhani atakuchukuliaje?nyie ndo waganga njaa wenyeweamna cha connection wala nini..piteni hivi watakuja wenye kutaka kusaidia ati mnajikuta wastaarabu shubaaamit piteni kule nyuzi za kuchangia zipo kibao huu niachieni na wenzangu waliopo real sihitaji hizo porojo zenu nukta