Naandika kutoka moyoni kabisa na hili limenikera mpaka nimeona niliseme tu nisije kufa na mapresha ya kuvumilia huu uduwanzi
Yaani hapa kwetu sasa hivi bila kumjua fulani au mtu anayejuana na fulani hupati kazi kweli jamani ndo tumefika huku na mimi sasa ambaye ndio msomi pekee kutoka kwetu huku nyamisati nimjue nani anipe connection ee baba tusaidie
Tuwe na aibu jamani kwanini ajira isiwe tu kama zinafanyika selection za vyuo ama form five kwamba mwenye sifa ama vigezo ndiye mwenye kupata nafasi, tupendane tusaidiane tuache mambo ya kibaguzi wote ni taifa moja na lengo letu ni moja
Mwisho kabisa naomba mwenye connection aniunganishe mahali basi maana hakuna namna hapa


yani nimesota mpaka nimekubali tuoneane huruma jamani
Jamani wote mnasali mnatoa sadaka na wengi ni waamini wazuri wa dini zote zilizopo tz naomba mnipe hata kamchongo ka laki tano wazee maisha magumu