Recent content by itagata

  1. itagata

    Nahitaji mashine ya kutengeneza sabuni za miche.

    Asante sana kwa ushauri mzuri!
  2. itagata

    Nahitaji mashine ya kutengeneza sabuni za miche.

    Asante sana kwa ushauri mzuri! Nipo mkoani nitafika ofisi za sido kufuatilia hili. Ubarikiwe sana.
  3. itagata

    Nahitaji mashine ya kutengeneza sabuni za miche.

    Wadau Salaam! Ninahitaji mashine ya kutengeneza sabuni za miche pamoja na mixer angalau ya lite 200. Mwenye nayo au mwenye uelewa naweza ipata wapi naomba anisaidie kwa kunitumia ujume PM. Asanteni sana.
  4. itagata

    Nina ujuzi wa kutengeneza sabuni za mche/kipande

    Mkuu ulipata mdau wa kufanya nae kazi? Kama bado tuwasiliane DM
  5. itagata

    Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania

    Kwangu mimi, kanzu ni vazi kama ilivyo tu Suti. Tofauti ni kuwa kanzu ina asiri ya Uarabuni na Suti ina asili ya Ulaya ila yote ni mavazi ya kawaida kabisa na haya ashirii chochote.
  6. itagata

    Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania

    Kwani Kanzu ni Vazi la Dini?
  7. itagata

    SI KWELI Kuna nyoka anawika kama jogoo

    Ni kweli hata sasa hivi nimetoka kumsikia na huwa wanawika tu kipindi cha Masika! Uliza watu wa Tabora au wanaoishi kwenye mapori ya Miyombo ambako Nyoka aina hiyo wanapatikana kwa wingi.
  8. itagata

    Serikali Ijenge shule za Michezo kila Mkoa

    Ndugu wana Jamiiforums Kwanza nianze kwa kuipongeza timu yetu ya taifa (Taifa Stars) kwa kufuzu kushiriki fainali za kombe la Mataifa ya Africa zitakazofanyika nchini Morocco. Ni hatua nzuri na ya kujivunia kuona soka la Tanzania linazidi kukua na kuonesha mwanga mwema wa mafanikio. Pia ni...
  9. itagata

    Boss wangu amemtolea mahari mwanamke mwingine; naumia sana

    Kama sijakosea kwenye uzi wako wa kwanza, wewe ndio ulimpenda na ukamwambia kuwa unampenda na akakujibu kuwa yupo kwenye mahusiano na anatarajia kufunga ndoa! Ukamjibu kuwa upo okay kwa hiyo hali na hutaharibu mahusiano yake! Sasa kelele za nini? Uliyataka mwenyewe!
  10. itagata

    Nimedondoka kwenye penzi zito na bosi wangu

    Hahahaaaa! Mwamba kajilia vyake halaf kaanza vitimbwi!
  11. itagata

    Mwalimu wa Primary anahitajika

    Cheki PM mkuu
  12. itagata

    Mwalimu wa Primary anahitajika

    Hahahaaaaa! Ni sahihi mkuu
  13. itagata

    Mwalimu wa Primary anahitajika

    Yupo ana uzoefu zaidi ya miaka 15
Back
Top Bottom