Msaada juu ya Taratibu za kuanzisha Chuo

itagata

JF-Expert Member
Sep 4, 2011
209
71
Habari wana JF!

Nina mpango wa kutimiza ndoto yangu ya muda mrefu ya kuanzisha chuo kitakachokuwa kinatoa course kwa ngazi ya Cheti na Diploma kwenye fani za Kilimo, Mifugo na maendeleo ya jamii mkoani Singida. Naomba ushauri kutoka kwa Wana JF wowote wenye kujua utaratibu ukoje ambao unaweza kunisaidia kuufuata ili kukamilisha ndoto yangu! Hii inaweza kuwa natakiwa kuwa na majengo yapi, wataalam wa aina gani wenye level zipi ambao watahitajika katika kukamilisha lengo langu, taratibu za kufuata ili kupata usajiri na mengineyo!

Asanteni sana.
 
Habari wana JF! Nina mpango wa kutimiza ndoto yangu ya muda mrefu ya kuanzisha chuo kitakachokuwa kinatoa course kwa ngazi ya Cheti na Diploma kwenye fani za Kilimo, Mifugo na maendeleo ya jamii mkoani Singida. Naomba ushauri kutoka kwa Wana JF wowote wenye kujua utaratibu ukoje ambao unaweza kunisaidia kuufuata ili kukamilisha ndoto yangu! Hii inaweza kuwa natakiwa kuwa na majengo yapi, wataalam wa aina gani wenye level zipi ambao watahitajika katika kukamilisha lengo langu, taratibu za kufuata ili kupata usajiri na mengineyo! Asanteni sana.

Hongera wazo zuri ata mimi nilishakuwa na plan on paper kuhusu hii project .nakushauri tembelea website ya nactevet utapata yote au nenda nactevet ofice kwa consultation
 
Hongera wazo zuri ata mimi nilishakuwa na plan on paper kuhusu hii project .nakushauri tembelea website ya nactevet utapata yote au nenda nactevet ofice kwa consultation
Asante sana!
 
Back
Top Bottom