Nimekua muda mrefu nafuatilia kuhusu ufanyaji kazi wa drones,habari njema ni kwamba kuna uwezekano wa kumodify drone ya kawaida kuwa drone ya kijeshi tena kwa dola zisizozidi 500.
Nimekua nikiangalia zile picha za vijana waliouwawa na watawala wa CCM mo29.nahisi Nina deni kwa vijana wale na...
Mmeanza tena,wale vijana waacheni wapambane wenyewe .Tanzania bila ccm inawezekana.wamefanya makubwa bila msaada wenu wana siasa Leo fainali ndio mnajisogeza.ccm mkitia pua tu hawa vijana fainali tunapoteza.nyinyi MNA laana kila mtakachogusa kinaharibika mpaka mtubu
Watu wengi ni wazembe sana,mambo ya msingi kama haya kufuatilia media kubwa zenye uchambuzi kama DW,BBC etc ,hamna.yaani mchambuzi nguli kama huyu mtu anasema hamfahamu?.kama taifa ikiwa tunataka kusonga mbele tuwe na utaratibu wa kufuatilia mambo ya msingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.