Pole mkuu,lakini ukweli mchungu mtoto wako hajiwezi kimasomo.mitihani ya siku hizi ni rahisi sana hivyo yeye kupata D inaonesha uwezo wake ni mdogo mno
Mmeanza tena,wale vijana waacheni wapambane wenyewe .Tanzania bila ccm inawezekana.wamefanya makubwa bila msaada wenu wana siasa Leo fainali ndio mnajisogeza.ccm mkitia pua tu hawa vijana fainali tunapoteza.nyinyi MNA laana kila mtakachogusa kinaharibika mpaka mtubu
Watu wengi ni wazembe sana,mambo ya msingi kama haya kufuatilia media kubwa zenye uchambuzi kama DW,BBC etc ,hamna.yaani mchambuzi nguli kama huyu mtu anasema hamfahamu?.kama taifa ikiwa tunataka kusonga mbele tuwe na utaratibu wa kufuatilia mambo ya msingi.
Hivi hawa watu wanajitambua kweli,mamia ya watanzania wameuwawa,maelfu wamepotea,kila leo utekaji na hakuna waliokamatwa.kwa hiyo kifo cha mchina ndio kimewauma sana? Tuwe na utu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.