Recent content by ISOSTACY

  1. I

    JamiiForums Tanzania Asante Teknologia

    Safi sana.wewe utakua kwenye kitengo cha strategia.kichwa chako kinawaza chap.utafika mbali
  2. I

    JamiiForums Tanzania Asante Teknologia

    Mwanaume jasiri hana sababu ya kukuvizia.wao pia watafute technology ya kuzuia hizo drones.uwezo ndio utaamua.survival for the fittest
  3. I

    JamiiForums Tanzania Asante Teknologia

    Wewe ni mhandisi?.MTU umesoma sociology utaelewa kinachofanyika.guys let us be serious.
  4. I

    JamiiForums Tanzania Asante Teknologia

    Mkuu,teknology haina nafasi ya uchawi.ni principles tu.
  5. I

    JamiiForums Tanzania Asante Teknologia

    Ha haaaa,usiogope mkuu.target ni chache sana
  6. I

    JamiiForums Tanzania Asante Teknologia

    Kwenye ukombozi dola 500 ni issue ndogo
  7. I

    JamiiForums Tanzania Asante Teknologia

    Huu mjadara kwa sasa usiwe mkubwa,lakini kwa ufupi technology haijawahi kufeli,ndio maana tunasisitiza elimu,elimu,elimu
  8. I

    JamiiForums Tanzania Asante Teknologia

    Nimekua muda mrefu nafuatilia kuhusu ufanyaji kazi wa drones,habari njema ni kwamba kuna uwezekano wa kumodify drone ya kawaida kuwa drone ya kijeshi tena kwa dola zisizozidi 500. Nimekua nikiangalia zile picha za vijana waliouwawa na watawala wa CCM mo29.nahisi Nina deni kwa vijana wale na...
  9. I

    JamiiForums Tanzania Majina ya hawa watoto waliouliwa…..

    Inasikitisha sana.hii hali hawa wajinga wanaojiita ccm kuna siku watalipia gharama ya uhalifu huu.unaua ili utawale una akili kweli?
  10. I

    JamiiForums Tanzania Mke wangu alipata muarabu akaolewa naye, wakaachama akarudi kwangu nikamuoa tena

    Sema sana,Cheka sana.ila omba Mungu yasikukute
  11. I

    JamiiForums Tanzania Hakuna aliyewahi kupambana na CHADEMA akashinda. Sisty Nyohoza utakuwa wa kwanza

    Sister (sisty) nyahozya ni wa kupuuzwa tu
  12. I

    JamiiForums Tanzania Makonda: Kila Mkoa tuweke screen kubwa kuangalia heshima inayojengwa na vijana wetu Serengeti Boys, Juni 2, 2026

    Mkuu hawa watu hawajitambui.wao ni kudandia kila jambo.
  13. I

    JamiiForums Tanzania Makonda: Kila Mkoa tuweke screen kubwa kuangalia heshima inayojengwa na vijana wetu Serengeti Boys, Juni 2, 2026

    Mmeanza tena,wale vijana waacheni wapambane wenyewe .Tanzania bila ccm inawezekana.wamefanya makubwa bila msaada wenu wana siasa Leo fainali ndio mnajisogeza.ccm mkitia pua tu hawa vijana fainali tunapoteza.nyinyi MNA laana kila mtakachogusa kinaharibika mpaka mtubu
  14. I

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Muswada wa Bunge la Marekani ni kuingilia mchakato wa Tume ya Uchunguzi wa Kijinai

    Inaumiza sana.ila IPO Siku ubaya wote utalipwa.
  15. I

    JamiiForums Tanzania TANZIA Gwandumi Mwakatobe afariki dunia

    Watu wengi ni wazembe sana,mambo ya msingi kama haya kufuatilia media kubwa zenye uchambuzi kama DW,BBC etc ,hamna.yaani mchambuzi nguli kama huyu mtu anasema hamfahamu?.kama taifa ikiwa tunataka kusonga mbele tuwe na utaratibu wa kufuatilia mambo ya msingi.
Back
Top Bottom