Mkuu achana nao hao ni kawaida yao wenye nao tunawajua na wakazi wote wa singida wanajua jinsi wanyiramba walivyo na roho mbaya wala usihangaike nao Kwan hujamwona Nyalandu Mwigulu na Kingu wanaleta ukabira
Kwa upande wangu nilishasema siku nyingi kuwa ningekuwa kiongozi wa nchi ningemuwekea walinzi wamlinde popote maana ni hazina ya taifa lkn cha ajabu eti kuna watu walikaa kwa ajili ya kujadili ili kuondoa uhai wake nimeshangaa Sana na nasema walaaniwe
Tatizo digital watu wengi walivyosikia ugali mawazo yao sembe hiyo ndio hukaa tumbon zaidi ya masaa24 sababu hata kabla hujala hyo ni takataka kula usio kobolewa ni dk45 kwisha viinlishe huenda mahali pake haraka Sana Nadhan nimeeleweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana huko jina lipitalo majina yote YESU KRISTO huwa hatembelei huko haiwezekani mwenye nguvu za kuzimu atawale Naomba mwana wa MUNGU awatembelee mwache kuabudu ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh Mimi Sina ujuzi na haya mambo lkn nikivyouangalia sijaona chochote na wala sirudii kuangalia labda wajuzi watwambie cha maana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jpm wewe ni zaidi figisufigisu zote Mara mazingira si rafiki kwa mradi huo nia na madhumuni diri za Richmond ziendelee hongera Rais wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupa pole Sana lkn Kumbuka kazi ya Mungu haina makosa inaweza kuwa Mungu aliona ni mda mwafaka kwa ajili ya ufalme wake Amen
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila siku bombadia Tumechoka hamna mada nyingine kitaifa na kimataifa hyo mambo ni kawaida tatizo hamna kazi na hamjishughulishi kutafuta kazi ubongo unafikiri bombadia pole
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.