Nimetoka Rwanda leo, kweli nimeamini Tanzania hamna wanawake

Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
kama Mtanzania, umetokana na Mwanamke ambaye ni mama yako. Sasa sijui wewe ama mama yako anafananaje?

Na log off .
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetoka Rwanda leo, nimerudi Tanzania, jamani Rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aisee, nilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe. Nile bata huko, huku Tanzania hamna wadada wowote.

Lazima nikaoe Rwanda asee wale wadada wana kila kitu, shape, sura tabia dah lazima nioe kule, kumbe huku hamna kitu.
Mkuu, uliokotwa jalalani?
 
Nimetoka Rwanda leo, nimerudi Tanzania, jamani Rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aisee, nilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe. Nile bata huko, huku Tanzania hamna wadada wowote.

Lazima nikaoe Rwanda asee wale wadada wana kila kitu, shape, sura tabia dah lazima nioe kule, kumbe huku hamna kitu.
 
Nimetoka Rwanda leo, nimerudi Tanzania, jamani Rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aisee, nilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe. Nile bata huko, huku Tanzania hamna wadada wowote.

Lazima nikaoe Rwanda asee wale wadada wana kila kitu, shape, sura tabia dah lazima nioe kule, kumbe huku hamna kitu.
Mkuu ulikua sehemu gani maana nilikua huko pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume Mimi napita tu...... Hapo umejumlisha mama,alokuzaa +Dada zako. ......
Mbona povu jingi wewe dada ukizaliwa na sura ya limao wewe ni mbaya tuu acha wanawake wazuri wasifiwe acha wivu
Nani alikwambia binadamu tunafanana kama mapanya buku au ngiri etc kila
Binadamu na sura yake ndo maana una ambiwa ukitaka kuoa chagua angalau mwenye mvuto usije kuharibiwa watoto mwishoni uje kulaimu kama wewe huku huna namna jikubali na hali yako acha wivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom