Yanayoendelea nchini: Nape atupa madongo

Yanayoendelea nchini: Nape atupa madongo

Kwa wale wasio elewa siasa za Afrika na hasa za CCM watamchukia Nappe...

Isn't bad to do the right thing at the right time...

Tupo pamoja na Nappe..... Iwe jua Iwe mvua.... Vita ya kupinga uonevu hupiganwa na majasiri sio wana historia.....

Hongera Nappe, Endelea kusema kwa niaba yetu, Pengine wakakusikia wewe
 
Nape ni zilipendwa, hana jipya wala mvuto tena........neymar wa barcelona kamwe hatokuwa sawa na neymar wa psg!
Mtamkumbuka baadae sana. Pole² hawezi mikiki ya kampeni. Anachoweza ni kununua madiwani.
 
Huyu ndie aliyemuambia Lowasa kuwa Ikulu sio ya Baba yako! Akampa aliyepo nae ndio kaifanya yake binafsi.
 
Kwa wale wasio elewa siasa za Afrika na hasa za CCM watamchukia Nappe...

Isn't bad to do the right thing at the right time...

Tupo pamoja na Nappe..... Iwe jua Iwe mvua.... Vita ya kupinga uonevu hupiganwa na majasiri sio wana historia.....

Hongera Nappe, Endelea kusema kwa niaba yetu, Pengine wakakusikia wewe
Leo mpo pamoja na nape????kweli walioita manyumbu hawakukosea ,,,,nape huyu huyu wa goli la mkono ,huyu huyu ugali umemwagika anajitia mipisho ,,,,,,watakaomuona anamaa ni manyumbu yasiyojua yametoka wapi na yanaenda wap kazi kwenu ufipaa
 
Nape alishawahi sema Lowassa in maiti haiwezi kuingia ikulu. Leo Lowassa amekuwa shujaa wa Nape..???
Wanasiasa hawatatuletea maendeleo zaidi ya chuki tuu. Maendeleo huletwa na wewe mwenyewe

Maneno hayo hayo ayaedit tena ila atoe jina la lowasa aweke la "Asiyejaribiwa"
 
Ni ujinga kumshabikia Nappe....kwangu mimi Nappe Ni mnafiki tu mama wanafiki wengine.
 
Nape alijisahau kumtukana Mzee mwenye mvii akafikir Mungu wake ni CCM hakasahau kuwa MV za Mzee ukizizarau ni rahana hata haende wapi bado iyo rahana itamtafuna alituumiza watanzania wengi tulio kuwa tunampenda Mzee wetu akawa anatembea anatukana nilifika mahali nikasema labda uyu ni Mungu wake duniani kwan anamuita mwenzake maiti dah anajua wangapi watakufa kesho
 
Leo mpo pamoja na nape????kweli walioita manyumbu hawakukosea ,,,,nape huyu huyu wa goli la mkono ,huyu huyu ugali umemwagika anajitia mipisho ,,,,,,watakaomuona anamaa ni manyumbu yasiyojua yametoka wapi na yanaenda wap kazi kwenu ufipaa
Acha kutumia lugha ya nyumbani kwenu kwa mama yako, tumia lugha ya kistaarabu kujenga hoja.....
Nappe is against what we are against... "a comrade"
So? Unataka tumpinge wakati anatusaidia kupambana na "Washamba"..Zitto
 
Hana uzalendo wowote uzalendo wake uko kwenye kula tuu endapo asingeguswa kwenye madawa ya kulevya Leo tungekuwa tunamuona anavyo ikumbatia CCM lakini baada ya kutajwa na kuzuiwa asipate pesa za wizi kutoka serikalini ndo kaanza kujitenga nao mbona wakati was kikwete ukukosoa CCM kama wew ni mtanzania mpenda wanyonge kiss alikuwa anawaacha mnaiba mtakavyo mkaoona CCM ndo chama mkasahau kuwa mambo yanabarika Leo unatudanganya eti uje upinzani kutusaidia yaan kaa uko au shika jembe ukalime yaaaaan Naaaaaaapeeeeee
 
Ha ha haaaaa
Umekosa la kuandika hadi unaleta habari za zamani ambazo zimo humu tayari

Despo
 
WANASIASA WAJIFUNZE KWA NAPE, KWAMBA WANAYOYATENGENEZA SASA YANAWEZA KUWAUMIZA WENYEWE BAADAYE.
 
Soon tutajua kilichoujaza moyo wa huyu Nape..amepigana na bado anaendelea kupigana ila nitafurahi sana pale atakapomwaga ugali tu hah hah hahahahaaa
 
Back
Top Bottom