Mfumo wa Syria wa Kujilinda dhidi ya Makombora umewekwa na Urusi kwa kuwa na maslahi kwa Assad..... Wachambuzi wa Mambo wanasema kuwa ingawa ni wa Kizamani ( Baada ya vita ya Pili ya Dunia ) lakini bado una Nguvu saana kufanya kazi
ndio maana maeneo yaliyolengwa hakuwa na madhara makubwa...
Kuna taarifa zinasema kuwa utafanyikia kwenye meli ya kivita ya kimataifa ...hawataki ifanyikie kwenye eneo lolote lenye wanajeshi wa Marekani, Urusi , China Korea au Japan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.