Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,373
- 6,086
Baada ya Korea Kaskazini kufanya majaribio ya kuonyesha inauwezo wa kufanya mashambulizi ya kupiga bomu la nyuklia sehemu yeyote Marekani na Ulaya sasa ni rasmi nchi imejiunga rasmi kwenye nchi zenye uwezo wa kuwa na silaha ya nyuklia.
Rais wa China anategemewa kufanya ziara na kukutana na Rais Kim Un Jong huko Pyongyang. Mkurugenzi mteule wa CIA Pompey alifanya ziara mwanzoni mwa mwezi huu na kufanya mazungumzo na Rais Kim Un Jong katika kufanya matayarisho ya mkutano unaotegemewa kufanya mwezi May kati ya Rais Donald Trump na Kim Un Jong.
Rais wa China anategemewa kufanya ziara na kukutana na Rais Kim Un Jong huko Pyongyang. Mkurugenzi mteule wa CIA Pompey alifanya ziara mwanzoni mwa mwezi huu na kufanya mazungumzo na Rais Kim Un Jong katika kufanya matayarisho ya mkutano unaotegemewa kufanya mwezi May kati ya Rais Donald Trump na Kim Un Jong.