Brighter Monday kwa hili hamko sahihi...!!!

Lady Ra

JF-Expert Member
Mar 23, 2014
879
988
Wadau kwema?

Jana nilimtembelea mdogo wangu mmoja ambae yuko nyumbani kwa sasa (Hana kazi) kwa sababu zake za kibinafsi. Basi katika story za hapa na pale akanionyesha kwenye Laptop yake kua ameomba kazi sehemu mbali mbali kupitia mitandao mbali mbali.

Mojawapo ya Mitandao alioomba ni hawa BRIGHTER MONDAY. Amenionyesha mahali ambako kuna meseji ametumiwa lakini hawezi kuzifungua mpaka aji-upgrade kwenda Premium Package. Na Upgrade hiyo inahitaji kulipia Tshs 33,000/= kwa mwezi kwenda kwa hao Brighter Monday. Wasiwasi wake ni kua pengine hizi meseji alizotumiwa ni kutoka huko kwenye makampuni alikoomba kazi.

Lakini nimewaza inakuaje mtu kuiona meseji zake mpaka azilipie ili awe Premium? Yaani ni sawa na hapa JF ukitaka kuona PM zako basi inabidi ulipie, hii imekaaje? Ina maana kama ni kweli amejibiwa na huko alikoomba na anatakiwa ahudhurie Interview si ndo hatofahamu sasa? Kwanin basi wasingeweka hii toka mwanzo kua meseji zinalipiwa?

Binafsi naona kama huu ni utapeli kwa kivuli cha ajira, maana hata hizo meseji zenyewe huwezi kujua ni zipi, zimetoka wapi na zinahusu nini, unaweza kulipia ukakuta hata ni Matangazo ya Biashara ya watu. Pili nature ya mtandao wenyewe ni watu ambao wanatafuta ajira, pengine mtu hana hiyo hela ndio anatafuta ajira, sio sawa hii.
 
Wadau kwema?

Jana nilimtembelea mdogo wangu mmoja ambae yuko nyumbani kwa sasa (Hana kazi) kwa sababu zake za kibinafsi. Basi katika story za hapa na pale akanionyesha kwenye Laptop yake kua ameomba kazi sehemu mbali mbali kupitia mitandao mbali mbali.

Mojawapo ya Mitandao alioomba ni hawa BRIGHTER MONDAY. Amenionyesha mahali ambako kuna meseji ametumiwa lakini hawezi kuzifungua mpaka aji-upgrade kwenda Premium Package. Na Upgrade hiyo inahitaji kulipia Tshs 33,000/= kwa mwezi kwenda kwa hao Brighter Monday. Wasiwasi wake ni kua pengine hizi meseji alizotumiwa ni kutoka huko kwenye makampuni alikoomba kazi.

Lakini nimewaza inakuaje mtu kuiona meseji zake mpaka azilipie ili awe Premium? Yaani ni sawa na hapa JF ukitaka kuona PM zako basi inabidi ulipie, hii imekaaje? Ina maana kama ni kweli amejibiwa na huko alikoomba na anatakiwa ahudhurie Interview si ndo hatofahamu sasa? Kwanin basi wasingeweka hii toka mwanzo kua meseji zinalipiwa?

Binafsi naona kama huu ni utapeli kwa kivuli cha ajira, maana hata hizo meseji zenyewe huwezi kujua ni zipi, zimetoka wapi na zinahusu nini, unaweza kulipia ukakuta hata ni Matangazo ya Biashara ya watu. Pili nature ya mtandao wenyewe ni watu ambao wanatafuta ajira, pengine mtu hana hiyo hela ndio anatafuta ajira, sio sawa hii.
Zoomtanzania na brighter monday ni wale wale tu sizani kama hua wanatoa ajira sahihi ukienda zoomtz wanakulink brighter Mondays hawajamaa futa kwenye akili yako kabisaa hawatoi kazi Bali wanatafuta pesa
 
Ndugu, changamoto zako ndio mtaji wa watu wengine. Aliyetengeneza hiyo portal ya Brighter Monday aliona changamoto zilizopo katika kutafuta ajira, hivyo akatumia changamoto hizo kuweza kujitengenezea kipato. Nothing free.
 
Ndugu, changamoto zako ndio mtaji wa watu wengine. Aliyetengeneza hiyo portal ya Brighter Monday aliona changamoto zilizopo katika kutafuta ajira, hivyo akatumia changamoto hizo kuweza kujitengenezea kipato. Nothing free.
Nimewaza kama Maxence Melo angeweka humu kua kuziona PM zako lazima ulipie ingekuaje?
 
Binafsi ni mmoja kati ya muhanga wa iyo ishu. Mwanzon kidogo hao jamaa walkua hawajaingia Zoom Tanzania, maomb ya kazi yalikua yanaenda vizuri na kam ukiitwa Interview unapata taarifa zako bila tabu. Lakin tangu hao jamaa waingie mambo yamekua tofauti kabixa yaan kwanza izo kazi mpka uombe lazim ujisali kwnye web yao. Na bado kuona izo notifications zako ni lazim mpaka ulipiee...
Kiukweli wanaumiza sana...
 
Binafsi ni mmoja kati ya muhanga wa iyo ishu. Mwanzon kidogo hao jamaa walkua hawajaingia Zoom Tanzania, maomb ya kazi yalikua yanaenda vizuri na kam ukiitwa Interview unapata taarifa zako bila tabu. Lakin tangu hao jamaa waingie mambo yamekua tofauti kabixa yaan kwanza izo kazi mpka uombe lazim ujisali kwnye web yao. Na bado kuona izo notifications zako ni lazim mpaka ulipiee...
Kiukweli wanaumiza sana...
Nachowaza tu ikiwa hizo Notifications kuna za kuitwa Intavyuu inakuaje hapo?
Si ndo umekosa kazi?
 
Wazinguaji hao lishawahi zungumziwa mala nyingi kuna source nyingi tu za kutafutia matangazo ya ajira ila sio Brighter monday kuna mda za kuambiwa unabidi uchanganye na zako.
 
Lakini tusiwalaumu sana hao maana hata sisi kama jamii pia tuna kasumba hiyo.Kuna ndugu yangu mmoja aliniambia ameomba kazi ya udereva(kampuni siitaji) ya udereva akawa kashafanya interview akawa anasubiria majibu nashangaa siku moja kanipigia ananiomba 50000 eti ana shida nikamuuliza una shida gani? eti akawa ananiambia unajua nimeomba kazi nataka nimpe jamaa 50000 nipate fasta. Amin usiamin sikumpa na kazi alikosa. Ni jamii ndio iliukumbatia huu utaratibu.Hayo makampuni msidhani watafanya kitu kwa makosa.wameshatusoma na kujua mentality yetu ipoje. Lakin all in all hakuna kazi ya kutoa hela na ukitoa ujue ni uzembe wako
 
Wadau kwema?

Jana nilimtembelea mdogo wangu mmoja ambae yuko nyumbani kwa sasa (Hana kazi) kwa sababu zake za kibinafsi. Basi katika story za hapa na pale akanionyesha kwenye Laptop yake kua ameomba kazi sehemu mbali mbali kupitia mitandao mbali mbali.

Mojawapo ya Mitandao alioomba ni hawa BRIGHTER MONDAY. Amenionyesha mahali ambako kuna meseji ametumiwa lakini hawezi kuzifungua mpaka aji-upgrade kwenda Premium Package. Na Upgrade hiyo inahitaji kulipia Tshs 33,000/= kwa mwezi kwenda kwa hao Brighter Monday. Wasiwasi wake ni kua pengine hizi meseji alizotumiwa ni kutoka huko kwenye makampuni alikoomba kazi.

Lakini nimewaza inakuaje mtu kuiona meseji zake mpaka azilipie ili awe Premium? Yaani ni sawa na hapa JF ukitaka kuona PM zako basi inabidi ulipie, hii imekaaje? Ina maana kama ni kweli amejibiwa na huko alikoomba na anatakiwa ahudhurie Interview si ndo hatofahamu sasa? Kwanin basi wasingeweka hii toka mwanzo kua meseji zinalipiwa?

Binafsi naona kama huu ni utapeli kwa kivuli cha ajira, maana hata hizo meseji zenyewe huwezi kujua ni zipi, zimetoka wapi na zinahusu nini, unaweza kulipia ukakuta hata ni Matangazo ya Biashara ya watu. Pili nature ya mtandao wenyewe ni watu ambao wanatafuta ajira, pengine mtu hana hiyo hela ndio anatafuta ajira, sio sawa hii.
Aisee hao jamaa ni wapuuzi saana ...dogo awe anatuma kwenye emeli za kampuni husika.....
 
Back
Top Bottom