Marekani na washirika wake wanapoua raia wa Syria wanawatetea akina nani?Hili ndo tatizo, watu mnashabikia sababu tu anajibizana na USA huku watu wake wanakufa kila siku ilhali USA hajafa hata mmoja kwa hivyo vita vya Syria.
Ningemuona kiboko kama angenusuru roho za raia wake ila sasa huyu ni bogus.
Watu wakiisha atatawala majengo na mafuta? Sifa yake itakua nini, kwamba alipigana na USA akashinda ila wanachi wake wote waliisha na wengine kukimbia makazi yao. Hii ni sifa kweli