Hii statistic ya uongo. Nijuavyo mimi ronaldo amecheza nying kuliko messi. Kuna kipindi messi alikuwa hachezi kama unakumbuka.... Sasa hz 36 zmietoka wapi????
Kujamba si tatizo.ila kujamba mbele za watu si adabu na wala si vema.. Hata jandon wanafundsha kuwa.. Ukijisikia kujamba nenda pemben.jamba ila si mbele.za watu
Sasa hapo kanisa limechafuka au padre amechafuka?
Kwa.hyo namimi nikifumaniwa kanisa linachafuka?? unadhan huko mbinguni dhambi za mmoja zinaunganishwa na wengine?? Kila mtu anavuna anachopanda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.