Nimelamba mchepuko wa dingi, hautaki tuachane

Nimelamba mchepuko wa dingi, hautaki tuachane

kisheria una weza kosa urithi kwa babaako
akijua
 
bileku mpasi anadai amea, and then a anasema anasoma, and then anasema wanamtegemea dingi kifedha... and then anakwenda kwa mchepuko wa dingi on regular basis... and then anataka kujinasua

Things dont add up

Utunzi F, Fiksi A
 
Last edited by a moderator:
Hii script ukipeleka bongo movie utaweza kuwa mwandishi/mtunzi mzuri.
 
kapime aisee, inasemekana mchepuko huo ulikuwa unatumia dawa za maisha
 
Yani we kaka na baba ako wote mnashea tobo moja jamani... Hujiskii vibaya?? Pyuuuuuuuuu... Mi kama ndo mkeo nakuacha siku hiyo hiyo.. Halafu unaomba ushauri wakat jibu unalo
 
Hapo nadhani ukimuuliza mama yako mzazi atakusaidia kwa ushauri uliotukuka
 
Inaonekana hata baba yako humpendi..achilia mbali mama na mkeo
 
bileku mpasi anadai amea, and then a anasema anasoma, and then anasema wanamtegemea dingi kifedha... and then anakwenda kwa mchepuko wa dingi on regular basis... and then anataka kujinasua

Things dont add up

Utunzi F, Fiksi A
Vipi mkuu macho yako yana matege!?

Hebu rudia kusoma vizuri hiyo post manake inaonekana kiranja ulisoma kwa kuruka ruka mistari...
 
Last edited by a moderator:
Wakuu ,

Nimekamatwa katikati ya penzi zito la mchepuko wa dingi yangu, Ipo hivi mimi nimeoa kwa miaka miwili sasa naishi Mwanza
wazazi wangu pia wanaishi hapa hapa Mwanza kwa takribani mwaka na kitu. Wamekua kwenye mgogoro mzito sana kuhusu huo mchepuko ambapo mzee kwa sasa anarudi home once in a week, siku zilizobaki zote analala kwa huo mchepuko ambao ameupangisha nyumba ya gharama kubwa na thamani za ndani pia.

Kwa kweli kachanganyikiwa vibaya juu ya huo mchepuko yaani ingekua bado tuna mhitaji kifedha labda bado tupo shule na kadhalika sieleewi ingekuaje. Cha kushukuru mungu wote tunafamilia zetu sasa hivi juzi kati kama miezi mitatu hivi dingi aliniuliza hivi ni lini utamfahamu mama yako mdogo maana wewe ndio mtoto wangu pekee wa kiume, nikamwambia mzee ni wewe tu, ukiwa tayari nipeleke dada zangu wote waligombana na mzee hivyo hawaongei kisa ni ugomvi wa wazazi kuhusu huo mchepuko hadi mama alipata ugonjwa wa hypertension juu ya huo mchepuko.

Nikapelekwa kuuona huo mchepuko, ila yy mwenyewe anatumia jina mama mdogo, kufika pale mtoto ni mkali sijaona, ni mweupeee utadhani Mwarabu, kiuno chembamba halafu wowowo hilo, kapiga kigauni hicho paja zote nje nikaambiwa mwamkie mamdogo huku umri anaonekana kulingana na mdogo wetu wa mwisho ambae pia ameolewa. Akamwambia binti hili ndo jembe langu peaneni namba za simu maana ikitokea nimeanguka huku huyu ndo unampigia simu kumtaarifu maana mzee ana medical condition flani hivi anaishi kwa masharti.

Mara kwa mara tumekua na mawasiliano na yule binti kwa mambo mbali mbali nimezoea kwenda pale hata kama Mzee hayupo kumsalimia, maana binti hulaumu mbona huji hata kunitembelea n.k. One day Mmee alikua nje ya Mwanza akanitumia list ya vitu nivinunue nimpelekee yule binti huwa hataki kabisa atoke. Nilipofika akatoa pombe kali akanipa yeye akawa anakunywa Dompo sikuwahi kunywa pombe kabla. Muda ulivyozidi kwenda tukaanza michezo ya kilevi, mara kuvutana na kadhalika kuja kustuka tupo dunia nyingine.

Nilishangaa ananivua nguo kama ugomvi vile mwisho tukawa tumeoana kwenye kochi pale.Nikiri tu wazi tangu kufahamu mapenzi mazito kama yale, kiuno kinazungushwa huwezi kama pana mfupa pale. Tuliendelea kufanya mchezo huo mara kwa mara, wakati mwingine natoroka kazini mchana naenda.Kwa kweli hata mke wangu anaachwa mbali sana na huyu binti kwa mambo hayo. Hata kabaang ambayo sikuwahi kufanya ndo nilipata for first time ni tamu mno nililia kama mtoto mdogo.

Hivi sasa nataka kujinasua nimeona naelekea kubaya, maana wife ameona mwenendo wangu umebadilika kwa hiii miezi mitatu ingawa mzee hana habari. Ila binti ndo amekua msumbufu hataki tufike mwisho. Mimi conscious ndo inanishtaki hasa kwa wife.Hata kwenda kwenye ibada nimeacha kwenda ikifika jumapili natafuta kisingizio chochote ili nisiende kwa sababu naona nafanya kazi bure kwa dhambi ya uzinzi na pombe ambavyo vyote nilikua sivifanyi kabla. Nimekuja kwenu mnisaidie nawezaje kuacha. Maana hata mzee akijua itakua balaa maana alishasema anataka kumuoa bomani

Help please

Kabang Ndio Nini Mkuu Umeniacha Kidogo Apa
 
Duuu inaonesha baba ako kanogewa na kabang na wewe pia umenogewa na kabang kwa sababu mkeo ni mtiifu hajawah kukuruhusu umuharibu

Sasa vuta picha umefumaniwa halafu ndugu zako wote wanajua umeshea Malaya na baba ako.

Pu****u zako subir moto wa jehanam ucpotubu..unaacha mke mzur nyumban unahangaika na Malaya walioziea kuf***wa.
Ma**na zako...mfyuuuuuuuuu.
Mwanaume km wewe ni wa kupigwa mawe.lol
Umenikera yan sijui mkeo akijua atajisikiaje..mfyuuuuu
 
Like father like son. Badala ya kumkemea baba yako aache kumtesa mama yako na wewe umeingia mule mule...unaanza kumtesa mkeo sasa. Wewe na baba yako wote shetani amewapitia!!
 
MULTIPLE id'S WONT HELP YOU

unatunga story kitoto mno na kipumbavu, they add no value to anyone... ficha upumbavu wako

Mm Nina ID moja tu
Nikikukosoa ni dhambi?

Kwa hiyo watu wakikukosoa wana id mbili?
Acha ushamba

Maana ukisema thread ni ya uongo unatutukana na sisi tulio comment ndo maana nikasema utaolewa maana unadandia vitu

Kwani umelazimishwa kuchangia?
Kama ya uongo si upite

Watu 59 tume comment ss ni wajinga

Narudia tena utaolewa acha mdomo na ujuaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom