Recent content by innocentmark

  1. innocentmark

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Bob Junior yuko hoi na kakosa pesa za matibabu?

    Ni kweli, ila hawa wasanii ukiona katika mitandao utasema wakina Jay z ila walipatwa na shida utagundua wewe una nafuu
  2. innocentmark

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Bob Junior yuko hoi na kakosa pesa za matibabu?

    Wasanii wa Tanganyika wanaishi Maisha mabovu sana
  3. innocentmark

    JamiiForums Tanzania Huwa mnadili vipi na ndugu wa aina hii?

    Tuma no Pm tumsaidie
  4. innocentmark

    JamiiForums Tanzania Chronic headache

    ushawahi kutembea na mke wa mtu au umewah kumdhurumu mtu haki yake?
  5. innocentmark

    JamiiForums Tanzania Safari Dar to Mwanza na Runx nitatoboa?

    Umeangalia tairi zimetengenezwa mwaka gani? Safari njema ila nakushauri kila baada km kadhaa park gari engine itulie
  6. innocentmark

    JamiiForums Tanzania GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    Ana ushawishi sana Chama tawala wana kazi pevu sana katika hili
  7. innocentmark

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namhisi vibaya mpenzi wangu. Je, ni hisia tuu au ni kweli?

    Huyo mtoto siyo wako, ndiyo maana anahofu cha kufanya ni kwenda kumpima vina saba ili uwe na amani.
  8. innocentmark

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Msiba upo Tabata Matumbi kwa mjomba wake!😥😥
  9. innocentmark

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ewaaa uzuri nyie mna roho ya uvumilivu.
  10. innocentmark

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ndiyo maana Mourinho alivyokuwa Chelsea alijuwa sana kumnanga Kocha wenger kuwa Bingwa wa kufeli.
  11. innocentmark

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Standard inabadilika Miaka na miaka. Swali moja Arsenal ishawah kubeba kombe lolote lile lilo chini ya Uefa. Wewe unazaliwa mpaka unazeeka hujawahi kushuhudia. Timu zote kubwa zimebeba kasoro Arsenal....Wachezaji wenu wa bei rahisi usitegemee akakupa makombe ya uefa....Mnarekodi ya kupepa...
  12. innocentmark

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal miaka na miaka wanajenga timu.Kwa kikosi kile msitegemee kubeba ubingwa wowote.Chelsea ni Club pekee London yenye mataji yote yaliyo chini ya Uefaa.Arsenal tangu inaanzishwa mpaka sasa haijawahi kubeba taji lolote la Uefa.Kai HAVERT na Kepa ni wachezaji waliyobeba Uefa kushinda kocha...
  13. innocentmark

    JamiiForums Tanzania Nina miti 10 ya maembe naikata kama kuni ambaye yupo interested karibu

    Nasikia Miti ya Mwembe ndio huwa vikao vya wachawi hufanya mikutano yao.
  14. innocentmark

    JamiiForums Tanzania Ni dili na tumechezewa akili na Iran na Marekani..Trump kaishukuru Iran

    Hapo kuna mtu anasubiria ajae kwenye Mfumo. Dunia ilitegemea majibu makali kutoka America ila wamejibu simple tu. Walitegemea Iran kulipiza kisasi na walijipanga.
Back
Top Bottom