Youbettersleep
JF-Expert Member
- May 3, 2019
- 955
- 1,671
- Thread starter
- #21
DaaahUtafika ukiwa hoi
DaaahUtafika ukiwa hoi
Mpya mkuuInafika pikipiki ndio itakuwa gari, au kigari chako kimeo unajihami?
Thanks chiefSafe journey
Unaweza tunaeza pata nami kazi kama wewe kaka
Asante sana kwa ushauri wako expert nipo MorogoroHilo ni gari Mkuu sio mnyama useme atachoka. Wewe nenda mwendo wa kawaida tu. Kuna muda funga vioo kuna mida fungua kioo chako na cha nyuma cha abiria upande wa kushoto.
Zaidi ya yote ukihisi uchovu pumzika kidogo, usize gari ghafla kama umetembea umbali mrefu kama 500km, acha liwe silence.
Epuka mbio na watu, kama sio mziefu wa masafa na kuendesha gari barabara za taifa, tembea 80 - 120 P/h.
Usitupie kabisa mitungi. Usiseme utaenda, usiage inapobidi. Wewe ingia barabarani tu.
Safari njema
2zz mkuuNi 1zz au 2zz ?
Unafika vizuri saana kuwa makini tu usikimbizane na mabasi.
Nimetoka saa 9 usikuHata South Africa inafika, cha maana Uzima wake, ila ondoka Alfajiri Sana!
Weka hiyo baby walker kapande mabasi Kuna zuberii, super sama, ally'sWazoefu wa Masafa marefu na vigari vidogo.
Wakuu ile RUNX mpya ya majuzi nataka niende nayo Mwanza kwa ajiri ya mapumziko kikazi, vipi nitatoboa nayo 1200 kilomita??
Nitatumia muda gani?
Speed natakiwa kutembelea ngapi?
Anyways
1.Tyre zote mpya
2. Service bado inadai 2000Km
3. Kila kitu kipo sawa
Thanks chief, nimetoka saa 9 usiku sina mbio ni speed kawaida tu, nimetoka morogoro...hapa nimepumzika sehemu tu kwa muda then naendelea.....nikichoka kuna flatbed litabeba mimi nitadandia busWeka hiyo baby walker kapande mabasi Kuna zuberii, super sama, ally's
NB. Ukishupaza shingo Utatoboa japo Kuna factors unabidi uzishinde uzoefu barabarani + usingizi na uchovuuu naweza nikakuandalia schedule ya safari Yako iweje iweje ili ufike salama
All the best.
Wasalaam
Dereva upo peke akoo? pia kaka usitumie kilevi.Thanks chief, nimetoka saa 9 usiku sina mbio ni speed kawaida tu, nimetoka morogoro...hapa nimepumzika sehemu tu kwa muda then naendelea.....nikichoka kuna flatbed litabeba mimi nitadandia bus
Barabaran nakutana nazo nyingi sana hivyo najipa hope kuwa nitafikaHiyo kubwa sana na inafika salama kabisa muhimu wewe na utimamu wako tu, ndugu yangu mmoja alikuwa na IST alitoka nayo Mbozi Mbeya akaenda nayo Musoma, na baadae akaenda nayo Geita, akarudi Mwanza...baadae akarudi Mbozi Mbeya na sasa miaka 3 gari ipo anaendelea kutumia. Zingatia usalama wa gari na mahitaji yake yote tu
Nipo mwenyewe tu mkuu, situmii kilevi, speed yangu ni 100Km/hDereva upo peke akoo? pia kaka usitumie kilevi.
Usi over speed? JE una uzoefu na route ndefu..
Badae nta share safari yeti tukiwa na gari mbili premio na alphahad dar es salaam to Kanda ya ziwa.
Safari tulianza jioni saa 11 iviii aisee usiku Kuna malori na mabasi yaoo speed yanamulika mwanga mpaka una acha kuona sekunde kadhaa kipande CHA dar to dom ni nomaa
Nipo mwenyewe tu mkuu, situmii kilevi, speed yangu ni 100Km/ nina uzoefu kiasi kwa route ndefu.Dereva upo peke akoo? pia kaka usitumie kilevi.
Usi over speed? JE una uzoefu na route ndefu..
Badae nta share safari yeti tukiwa na gari mbili premio na alphahad dar es salaam to Kanda ya ziwa.
Safari tulianza jioni saa 11 iviii aisee usiku Kuna malori na mabasi yaoo speed yanamulika mwanga mpaka una acha kuona sekunde kadhaa kipande CHA dar to dom ni nomaa
Thanks.....acha nifike mwanzaAll the Best
Nimeamua haya....Vizuri kabisa Kuwa tu makini kuna tabia flan ya madereva wa magari madogo unatakiwa usifanye hizo tabia usiovertake kama huoni mbele au kwa kuifata nyuma gari inayoovertake kwa kumtegemea dereva wa mbele ukihisi ni salama kisa yeye anaovertake yeye anajipigia hesabu yeye hakupigii hesabu wewe usije ukauziwa kicheche ukaingia chini ya lori.
Ukihisi kuchoka pumzika , usiendeshe usiku kama hauna uzoefu.
Safari njema mkuu.Nimeanza safari saa 9 usiku leo, nipo Morogoro, speed 80 -100Km/h sometimes
Umeangalia tairi zimetengenezwa mwaka gani? Safari njema ila nakushauri kila baada km kadhaa park gari engine itulieWazoefu wa Masafa marefu na vigari vidogo.
Wakuu ile RUNX mpya ya majuzi nataka niende nayo Mwanza kwa ajiri ya mapumziko kikazi, vipi nitatoboa nayo 1200 kilomita??
Nitatumia muda gani?
Speed natakiwa kutembelea ngapi?
Anyways
1.Tyre zote mpya
2. Service bado inadai 2000Km
3. Kila kitu kipo sawa