toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,428
- 2,813
Binafsi napenda sana kuheshimu maamuzi yanayofanywa na mtu/watu hasa ikiwa yanahusisha taaluma/ujuzi ambao Mimi Sina weledi nao.
Lakini hii hainizuii kutumia akili yangu.kwanza Moja ya team zimeonekana kuwa na poor scouting team ni chelsea.ni kama maranyingi hawajui wanataka Nini na eneo gani na kuna mifano mingi mno kuthitisha hilo.
Mchezaji yoyote unayemnunua Chelsea kwa miaka ya karibuni jua huyo ni uthibitisho wa poor scouting na failed project.
Unaponunua mchezaji anakuwa ni either an instant project or potential project.kwa wachezaji wote tulionunua Chelsea sijawahi ona chochote kati ya hivyo.Ukitaka kujua hilo angalia resale value yao.karibu wote waliondoka bure toka kwetu na baadhi wameteseka kupata team au wakastaafu kabisa.
Sina tatizo na madueke wala kepa ila nna tatizo na think tank ya arsenal.jiulize Leo ukiamua kumuuza Kai utapewa sh ngapi?wakikupa £30m ni hisani tu hiyo.ukitaka kujua hilo angalia wakati huu tunamtaka sesko na victor nani anaonyesha interest na Kai?
Tunapoleta mshambuliaji mpya maana yake muda wa Kai unazidi kupungua uwanjani kama anagekuwa ni instant or potential project lazima vurugu na sarakasi za kuondoka zingeshaonekana au kusikika.
Bad news tunawalipa mishahara mikubwa mnooo.
Lakini hii hainizuii kutumia akili yangu.kwanza Moja ya team zimeonekana kuwa na poor scouting team ni chelsea.ni kama maranyingi hawajui wanataka Nini na eneo gani na kuna mifano mingi mno kuthitisha hilo.
Mchezaji yoyote unayemnunua Chelsea kwa miaka ya karibuni jua huyo ni uthibitisho wa poor scouting na failed project.
Unaponunua mchezaji anakuwa ni either an instant project or potential project.kwa wachezaji wote tulionunua Chelsea sijawahi ona chochote kati ya hivyo.Ukitaka kujua hilo angalia resale value yao.karibu wote waliondoka bure toka kwetu na baadhi wameteseka kupata team au wakastaafu kabisa.
Sina tatizo na madueke wala kepa ila nna tatizo na think tank ya arsenal.jiulize Leo ukiamua kumuuza Kai utapewa sh ngapi?wakikupa £30m ni hisani tu hiyo.ukitaka kujua hilo angalia wakati huu tunamtaka sesko na victor nani anaonyesha interest na Kai?
Tunapoleta mshambuliaji mpya maana yake muda wa Kai unazidi kupungua uwanjani kama anagekuwa ni instant or potential project lazima vurugu na sarakasi za kuondoka zingeshaonekana au kusikika.
Bad news tunawalipa mishahara mikubwa mnooo.