Mjusi_kafir
JF-Expert Member
- Dec 4, 2023
- 296
- 513
Katika mwaka ambayo Arsenal inawachanganya mashabiki zake hadi wapinzani pamoja na waandishi wa habari basi ni msimu huu baada ya kuja Berta, yan tuliskia wamefanya mazungumzo + na Sesko hata siku hazijaenda sana wameamia kwa Gyokeres, mara tena Sesko kimya jumla, juzi juz mara mosqure, mara paap Kepa huyu hapa, hatujakaa sawa tunafanya mazungumzo ya Ndani ya Eze, mara tumeulizia upatikanaji wa Madueke yan, ni tunachanganyiwa hadi tu aisee

