Aiylan wasalan
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,384
- 3,261
Eze aje bhana
Mimi uwa simkubali hana tofauti kubwa na HavertzMsimu ule nilitaman guirrasy asajiliwe haikuwa hivyo, leo jonathan david anaenda juve, free agent, sie bado tunasaka mshambuliaji, na umaweza kukuta danadana na asisajiliwe strikers, hili chama miaka ijayo linaweza kuwa sababu kuu ya magonjwa yasiyoambukiza
ishabeba Uefa winners cup mwaka 1993Standard inabadilika Miaka na miaka. Swali moja Arsenal ishawah kubeba kombe lolote lile lilo chini ya Uefa. Wewe unazaliwa mpaka unazeeka hujawahi kushuhudia. Timu zote kubwa zimebeba kasoro Arsenal....Wachezaji wenu wa bei rahisi usitegemee akakupa makombe ya uefa....Mnarekodi ya kupepa makombe mengi ya emirates.
Kulaaaaaaaaaaaalekiii.Mimi uwa simkubali hana tofauti kubwa na Havertz
Kwenye list umemsahau nyanda Peter cech. Alikuwa hatare amewasaidia sana.
Sasa tunawapa nyanda mwingine Keppa, madaktari wenu wamesema Raya alicheza kwa maumivu makali sana ya mguu msimu ulioisha hivyo kuna possibility ya kukatwa mguu.



Oil na Oil walikutana.Jana asubuhi nilipata habari kuwa Man City wametolewa Club World Cup na katimu ka Asia huko. Mke wa Pep ameondoka tena nini?
Kocha pimbi yule.Katika mwaka ambayo Arsenal inawachanganya mashabiki zake hadi wapinzani pamoja na waandishi wa habari basi ni msimu huu baada ya kuja Berta, yan tuliskia wamefanya mazungumzo + na Sesko hata siku hazijaenda sana wameamia kwa Gyokeres, mara tena Sesko kimya jumla, juzi juz mara mosqure, mara paap Kepa huyu hapa, hatujakaa sawa tunafanya mazungumzo ya Ndani ya Eze, mara tumeulizia upatikanaji wa Madueke yan, ni tunachanganyiwa hadi tu aisee
ishabeba Uefa winners cup mwaka 1993


Hayo makombe yalishafutwa na wala hayatambuliki tena kwenye list ya UEFA, Ni sawa na mtu anajisifu ana hela halafu mfukoni ana hii.
Sio kweli,hata kama limefutwa ila kwenye rekodi imebaki hivyohivyoHayo makombe yalishafutwa na wala hayatambuliki tena kwenye list ya UEFA, Ni sawa na mtu anajisifu ana hela halafu mfukoni ana hii. View attachment 3392470
Ewaaa uzuri nyie mna roho ya uvumilivu.Sio kweli,hata kama limefutwa ila kwenye rekodi imebaki hivyohivyo