Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Msimu ule nilitaman guirrasy asajiliwe haikuwa hivyo, leo jonathan david anaenda juve, free agent, sie bado tunasaka mshambuliaji, na umaweza kukuta danadana na asisajiliwe strikers, hili chama miaka ijayo linaweza kuwa sababu kuu ya magonjwa yasiyoambukiza
Mimi uwa simkubali hana tofauti kubwa na Havertz
 
Katika mwaka ambayo Arsenal inawachanganya mashabiki zake hadi wapinzani pamoja na waandishi wa habari basi ni msimu huu baada ya kuja Berta, yan tuliskia wamefanya mazungumzo + na Sesko hata siku hazijaenda sana wameamia kwa Gyokeres, mara tena Sesko kimya jumla, juzi juz mara mosqure, mara paap Kepa huyu hapa, hatujakaa sawa tunafanya mazungumzo ya Ndani ya Eze, mara tumeulizia upatikanaji wa Madueke yan, ni tunachanganyiwa hadi tu aisee
 
Arsenal miaka na miaka wanajenga timu.Kwa kikosi kile msitegemee kubeba ubingwa wowote.Chelsea ni Club pekee London yenye mataji yote yaliyo chini ya Uefaa.Arsenal tangu inaanzishwa mpaka sasa haijawahi kubeba taji lolote la Uefa.Kai HAVERT na Kepa ni wachezaji waliyobeba Uefa kushinda kocha mwenyew na wachezaji wote.
 
Nadhani ukizaliwa Mtanzania basi unaqualify direct kuwa mchambuzi wa mpira, kama tungetumia mfano wa Pep kutumia mpira kuyaelewa maisha nafikiri nchi isingekuwa masikini. Wanasemaga education is knowledge, that means education is about knowing somethig, kwa msemo huu 90% ya Watanzania tuna elimu ya mpira, mbaya ni kwamba elimu yetu ni kuhusu mpira wa timu moja tu, The Mighty Arsenal.

kipindi cha nyuma wachambuzi humu walituaminisha Arsenal haiwezi kuqualify michuano ya Champions league based on their database lakini leo tunacheza against Real Madrid/ Psg kwenye hatua ya semis, now standard imebadilika kuwa The mighty arsenal hatuwezi kuchukua ubingwa.

Wakati Guardiola anatumia mpira kuyaelewa maisha, mimi natumia mpira kuelewa Cognitive bias inavyo influence mentality of the masses, kuthibitisha how blindspots zinavyo affect decision making. #Coyg.
 
Kwa Standard tuliyoset regardless aanze Madueke, Kai harvertz or Kepa, we wont lose big games, we wont lose second spot unless there's huge injury blow au red cards. Our target remains the same, to win the title kitu ambacho usajili wa Sesko & Rodrygo/ Eze and an improved Squad depth vina guarantee. This is my belief. This is what makes The Mighty Arsenal lives rent free in their head. This is why they cant stop talking about us. the fear factor.
 
Standard inabadilika Miaka na miaka. Swali moja Arsenal ishawah kubeba kombe lolote lile lilo chini ya Uefa. Wewe unazaliwa mpaka unazeeka hujawahi kushuhudia. Timu zote kubwa zimebeba kasoro Arsenal....Wachezaji wenu wa bei rahisi usitegemee akakupa makombe ya uefa....Mnarekodi ya kupepa makombe mengi ya emirates.
 
Standard inabadilika Miaka na miaka. Swali moja Arsenal ishawah kubeba kombe lolote lile lilo chini ya Uefa. Wewe unazaliwa mpaka unazeeka hujawahi kushuhudia. Timu zote kubwa zimebeba kasoro Arsenal....Wachezaji wenu wa bei rahisi usitegemee akakupa makombe ya uefa....Mnarekodi ya kupepa makombe mengi ya emirates.
ishabeba Uefa winners cup mwaka 1993
 
Mimi uwa simkubali hana tofauti kubwa na Havertz
Kulaaaaaaaaaaaalekiii.

Let's assume we are on Marvel Universe, ambapo kuna multiple alternate realities na dimensions

On every alternate na dimensions, basi kuna chance kubwa ya ngamia kupita kwenye tundu la sindano, kuliko Kai Havertz kufanana na Guirassy.

We unamuona Kai wa kuscore goli 13 UCL mkuu?
 
Kwenye list umemsahau nyanda Peter cech. Alikuwa hatare amewasaidia sana.

Sasa tunawapa nyanda mwingine Keppa, madaktari wenu wamesema Raya alicheza kwa maumivu makali sana ya mguu msimu ulioisha hivyo kuna possibility ya kukatwa mguu.
 
Katika mwaka ambayo Arsenal inawachanganya mashabiki zake hadi wapinzani pamoja na waandishi wa habari basi ni msimu huu baada ya kuja Berta, yan tuliskia wamefanya mazungumzo + na Sesko hata siku hazijaenda sana wameamia kwa Gyokeres, mara tena Sesko kimya jumla, juzi juz mara mosqure, mara paap Kepa huyu hapa, hatujakaa sawa tunafanya mazungumzo ya Ndani ya Eze, mara tumeulizia upatikanaji wa Madueke yan, ni tunachanganyiwa hadi tu aisee
Kocha pimbi yule.
 
ishabeba Uefa winners cup mwaka 1993
Hayo makombe yalishafutwa na wala hayatambuliki tena kwenye list ya UEFA, Ni sawa na mtu anajisifu ana hela halafu mfukoni ana hii.
images-29.jpg
 
1751532238206.jpeg


Viktor mpaka ameshaamua kuachana na mrembo wake Ureno ili akatatute mrembo mwingine wa kumpa kampani jijini London.

Huyu tutampata kabla ya pre-season. Dhamira yake ya kucheza kwetu ni kali kinoma yaani hata hataki kuanzia Chelkenge kwanza.
 
Back
Top Bottom