Recent content by independencesince1961

  1. I

    Kashfa nzito: Zitto vs Amina Chifupa

    She has to come through, God give her strength
  2. I

    Wanene kuongezewa marupurupu

    zitto, Mfuko wa bunge? Nini manayake? Ni pesa ya kitu gani itaanza kuwekwa hapo?
  3. I

    Wanene kuongezewa marupurupu

    where is that thread of community development fund? Anybody with the details regarding the bill?
  4. I

    Wanene kuongezewa marupurupu

    Zitto, Kwanza nikupe pongezi ya kujibu tuhuma ulizopewa. Pili, natumaini hilo jibu ndio jibu lako la mwisho mpaka utakapofikia uamuzi wa kusemea swala hili ama utakapoacha kujikanyaga. Tatu, ukija kusema hapa, uje kusema ukweli, ama usiseme kabisa. Kimya ni bora kuliko kusema uongo. CDF...
  5. I

    Lazima tuwekane sawa kuhusu UKIMWI

    Mi nadhani tuanze kukubali hali halisi ya mazingira yetu. Halafu ndio tujadili mbinu za kupambana na matatizo yetu, bila hilo hatuendi popote Kwanza, UAMINIFU katika mahusiano si kasumba ya mtanzania wa kiume. Ingawaji na kinadada wa kisasa wajakuja kwa kasi sana katika kasumba hii. Pili...
  6. I

    Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

    Vitambulisho vya urai ni swala nyeti sana, na halianzi tu kwenye uwezo wa kutengeneza hivyo vikaratasi. Vikaratasi hivyo ni kama vile cheti unachopata baada ya kuhitimu shule. Kunamaswala ya msingi ambayo ni muhimu kwetu. Kwanza, kampuni inayopewa tender, itatumia utaratibu upi kujua huyu ni...
  7. I

    Mkapa above the law?: Allegations

    Mwanakijiji, Imetoka gazeti la jana, kurasa ya tatu. Kichwa cha habari kilikuwa MKapa Kuwa Muwazi na mkweli Kuhusu Utajiri wako.
  8. I

    The road towards 2010 Elections

    Uchaguzi wa 2010 na Wachambuzi wa siasa Tuache dhana ya kutoa majibu rahisi kwamba kiongozi ni lazima aongoze vipindi viwili na ni lazima atoke CCM. Tujaribu kufikiri ndani zaidi. Wachambuzi wa siasa hebu tupeni uchambuzi wa uchaguzi wa 2010 utakuwaje! 1. Nani atakuwa Raisi wa...
  9. I

    Uchaguzi Zanzibar itakuwaje 2010?

    Sidhani kama ni busara kufikiri CCM ndiyo itakayoendelea kuongoza mwaka 10 ijayo. Tunajua kabisa kunamaongezi yanayoendelea kati ya makatibu wa kuu wa CUF na CCM. Maongezi haya yanaweza kuwa na tafsi nyingi, lakini kwangu nachohisi ni kwamba CCM ishagundua nguvu ya CUF ccm, na ikiachwa bila...
  10. I

    East African Federation (EAF) public Views

    For those in dar, there should be a Pan Africanism & the East African Federation at UDSM. Keep us posted of issues raised. The title of t panel discussion is Pan Africanism & the East African Federation: Venue: Theatre 2; Time: 4-6pm; Thursday 17th May 2007 Chair is: Dr.Martha Qorro...
  11. I

    Serikali yawatelekeza wanafunzi 29 Ukraine

    Mwanakijiji, natumaini umefanya ila natoe angalizo tu. ili kupata lengo ulilolisema, natumaini ulishaongea na watu wachache nyumbani kutandaza uozo huu na muhimu kabisa wewe na nguvu ya kumwambia ama kumshauri muungwana a way forward....
  12. I

    Serikali yawatelekeza wanafunzi 29 Ukraine

    mwanakijiji Hongera, Pili, swala hili limekuja wakati muafaka na tukio la chuo kikuu, kwani hata hao wa UKraine wako kwenye bodi ya mikopo. Kunajitihada zozote za kulifanya hili swala lionyeshe picha kubwa zaidi? Kuunganisha na wale wanafunzi wa dar? Kama inawezekana wanafunzi wa dar...
  13. I

    Just in: UDSM wafukuzwa

    Mwanasiasa, you divide and rule..... Swala la kujipanga tena na kugoma bila uongozi si lelemama unahitaji watu shupavu, makini na wendawazimu. Chuo kilitambua uwezekano wa kuwepo mgomo iwapo wanafunzi watarudi na viongozi wao. Just out of context, and i am not yet sure, but i was...
  14. I

    Just in: UDSM wafukuzwa

    wote wanaorudi watakiwa kujaza form hizi....
  15. I

    Just in: UDSM wafukuzwa

    Uongozi wa chuo kikuu cha Dar es salaam umetangaza kufungua chuo kuanzia tarehe 14 mwezi huu. Wakati huo huo, wanafunzi 56 wamesimamishwa chuo, wengi wao wakiwa ni viongozi wa serikali za wanafunzi toka UDSM, MZUMBE, na UCLAS. Asilimia 41.2 waliweza kutimiza masharti yote tisa, wakati...
Back
Top Bottom