Recent content by Ilushenisti

  1. I

    Land cruiser ipi mjapani alitulia kati ya hizi

    Heshima kwa vx100 series, nilinunua hii gari ili niiuze ila nimeshindwa kuiachia, i just fell in love with it.
  2. I

    Hizballah links US, Russia to Al-din’s killing

    Sasa wewe unafanya nini hapa? Si uondoke ili abakie mwenyewe akabisa!
  3. I

    Sauti ya Mke wa Waziri Mahiga na Traffic Police aliyetakiwa kupandishwa cheo

    Wanaoongoza kwa kujiona wapo juu ya sheria ni hao polisi. Najiuliza tu hivi polisi angenitukana mimi raia wa kawaida na raisi akalifahau hilo je angelizungumzia pale? Kwanza nikitukanwa na askari naenda kuripoti wapi? Hakuna watu wanalindana katika uovu kama polisi! Na jpm hajaonesha nia ya...
  4. I

    Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

    Kuna kipindi ukisifiwa sana unajidanganya you are too big to fail.
  5. I

    Marekani yaifungua iPhone ya Mlipuaji

    Una akili sana
  6. I

    Open your eyes dada, usitarajie ndoa huku unaogopa kutoa penzi kwanza

    Si vyema sana kuusema ukweli kama ulivyo, hujui tu madhara yanayotokea hapo
  7. I

    Hivi mimi ni mbinafsi?

    Sasa si uwe tu
  8. I

    Hivi mimi ni mbinafsi?

    Naona hakuna anayekujibu, wanajizungusha zungusha tu. NDIO wewe ni mbinafsi! Habari njema ni kwamba ubinafsi si jambo baya, kwanza ndio msingi wa ubepari
  9. I

    Saudi Arabia: The middle east’s real apartheid state

    Mwaka jana a Saudi Arabia imewakata vichwa watu wengi kuliko ISIS ilivyofanya Iraq na Syria.
  10. I

    Maziwa ya Azam siyaelewi!

    Someni maelezo kwenye box la maziwa mjue mnakunywa nini, Nilinunua hayo maziwa nikabaini sio kabisa, sasa kuja kusoma maelezo kwenye box ndio nikajiona mjinga kama watanzania wengi hatusomi maelezo kwenye bidhaa tunazotumia. Sasa hivi hata bure hayo maziwa situmii
  11. I

    Kimenuka jumuiya za kimataifa, Rais Magufuli hasomeki

    Hivi kumbe bado kuna dunia/block ya kikomunisti? Anayesema hivyo hajui maana ya ukomunusti, anaimba ngonjera tu kijifurahisha yeye na wajinga wenzake.
  12. I

    Ninavyoendelea kumdanganya huyu mrembo

    Hata ninyi kawapendelea sana, wapo wanaume walio kwenye receiving end kwenye situation kama hii hapa ati
  13. I

    Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

    Something to learn here, if you want a serious discussion lock some fools out!
  14. I

    Hatari ya mafanikio - CHADEMA/UKAWA & Lowassa

    Mkuu you have a point, swali nalojiuliza je dola inaweza kusimama pamoja? Ikiweza ktk scenario hii basi ccm itashinda, ikigawanyika kwa ndani basi ndio mwisho wa CCM.
  15. I

    Hatari ya mafanikio - CHADEMA/UKAWA & Lowassa

    Mkuu mabadiliko si kitu smooth cha mara moja, Misri will undergo the period of instability hata kwa 10yrs ila watafikia tu demokrasia ya kweli. Hata Urusi baada ya mapinduzi ya 1917 walipitia civil war kabla ya mambo ku stabilize, ndivyo inavyokuwaga, mnachokiita amani (mimi nakiita utulivu)...
Back
Top Bottom