Kupitia watu kama weye mleta mada na matendo ya kisheitwani kama yakwako ww mleta uzi,ndipo nnapozidi kupata mazingatio na maono ya mbali saana na hikma kwamba kwnn Allah na Mtume wake (s.a.w) wametoa hukumu kali sana kwa wanandoa wazinifu:
"Mzinifu mwanamke aliyeolewa/aliyewahi kuolewa na mzinifu mwanaume aliyeoa/aliyewahi kuoa wapigeni mawe mpaka wafe"
Mleta mada unastahili kupigwa mawe mpka udanje!
Take it from me "a bad play has no good end"
Take it too from Imamu Shafii "hakika zinaa ni deni" nazani unajua dawa ya deni ni kulipa deni,sasa na maajabu ya deni la zinaa mkopaji cye atakaelipa deni ilo bali wanandugu na jamaa zake wa kike wanaomuhusu kwa karibu kabisa ndio watakaomlipia deni ilo,yaani mama ako mzazi,mkeo,binti yko,dada ako,shangazi yako,mama ako mdogo/mkubwa,bibi zako nk!
Mkuu chunguza sana hao watu nlokutajia mienendo yao,ipo siku utakuja kugundua kitu kibaya sana wanafanyiwa nyuma ya pazia ikiwa ni sehemu ya kukulipia deni lako...