Recent content by Ilumine

  1. Ilumine

    JamiiForums Tanzania Mapadri wanne wafariki ajalini

    Nilifika eneo hilo baada ya dakika 5 hivi kisha ajali. Ilisikitisha sana. Mmoja alikuwa hai bado, lakini hakukuwa na yeyote aliyeweza kutoa msaada ili kuokoa maisha. Kila mmoja alikuwa anatazama tu. Hiyo picha ya pili, ni lori lililokuwa likitoka Dar kuelekea Moro, tank lake la mafuta...
  2. Ilumine

    JamiiForums Tanzania Unlocking Huawei EC226 CDMA - Zantel

    Mimi sina mchango kwa hilo, ujuzi wangu ni kidogo sana. Ninaweza pia ku unlock TTCL Fixed wireless terminal CDMA? zile simu za mezani lakini wireless. Naombeni msaada wenu wataalamu. Asante.
  3. Ilumine

    JamiiForums Tanzania Makamba: Ruksa kuhama CCM kuipinga Dowans

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba, amesema ni ruksa kwa mwanachama yeyote anayetaka kuhama chama hicho kupinga malipo ya fidia kwa Kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans Tanzania Limited kwa sababu alijiunga nacho kwa hiari yake. Makamba alitoa kauli hiyo jana wakati...
  4. Ilumine

    JamiiForums Tanzania CPU inside a....KEYBOARD!!!!!!

    :clap2::clap2: Everyday people think what new thing they can produce and have a market! Thanks for the post.
  5. Ilumine

    JamiiForums Tanzania Zain in Africa re-brands to Airtel

    Wanachakachua kodi, tunazidi kuwa masikini kwa mikataba hii feki na ya kifisadi. mwe!
  6. Ilumine

    JamiiForums Tanzania Zain in Africa re-brands to Airtel

    Telecommunications company Zain Kenya on Monday underwent its fourth re-branding, becoming Bharti Airtel. The re-branding is expected to complete the takeover of Zain's Africa operations by Indian telecoms giant Bharti Airtel and comes after the Indian company acquired Zain's Africa assets at a...
  7. Ilumine

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu Ramadhani: Chadema hawana makosa!!

    Huyu jamaa si alikuwa mjeshi tu, tumsamehe kwa maana hajui asemalo, awaachie wenye profession zao
  8. Ilumine

    JamiiForums Tanzania Tamko la Vijana 'WASOMI' wa vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma Dhidi ya wabunge wa CHADEMA

    Kuuumbe, hapo UDOM kuna vi-FISADI vichanga vinalelewa! Sijui kama ni tamko la wasomi vijana wote au ni maoni BINAFSI ya huyo kibaraka wa siiisiem
  9. Ilumine

    JamiiForums Tanzania GE2010 CCM yatoa tamko kuhusu kitendo cha wabunge wa CHADEMA

    Kwani hao CHADEMA wameikosea CCM? Huyo Chuligati anahusika nini na mambo ya wabunge, au yeye ni kibaraka wa Makinda? Naona Chiligati afunge domo lake haraka, mambo hayo hayamuhusu!!!!:embarrassed:
  10. Ilumine

    JamiiForums Tanzania Serikali yatoa tumaini Mahakama ya Kadhi

    WAKATI jana Waislamu nchini waliungana na wengine duniani kusherehekea Sikukuu ya Idd El Hadj, Serikali imetoa tumaini jipya la kuwapatia Mahakama ya Kadhi. Tumaini hilo jipya kwa Waislamu nchini limetolewa jana na Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal wakati akijibu salamu za Baraza Kuu la...
  11. Ilumine

    JamiiForums Tanzania GE2010 Ushindi wa Chadema wachafua hali ya hewa CCM Mpanda

    Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wakati wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Mpanda Mjini wakifurahia matokea ya ushindi wa ubunge, Said Amor Alfi, hali si shwari kwa wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimbo ambao juzi walilazimika...
  12. Ilumine

    JamiiForums Tanzania Dr.slaa live east africa tv leo saa moja jioni

    Bila shaka, labda umezoea kuita "CHANNEL 5" USIKOSE nami nasisitiza!
  13. Ilumine

    JamiiForums Tanzania Facebook to launch e-mail service..

    Ipo safi hiyo! vipi umeshaanza kufanya kazi? Nimejaribu nimeshindwa.
  14. Ilumine

    JamiiForums Tanzania GE2010 Dr.Slaa kuunguruma kesho.

    :israel: Dr. Slaa atafanya ‘press conference’ na waandishi wa habari kesho siku ya Jumapili. Mahali ni Makao Makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Dr. Slaa amesema sio kawaida yake kuongea mambo ambayo hajafanyia uchunguzi. Haya tumtegee masikio Shujaa huyu hiyo kesho. Sijajua kama...
  15. Ilumine

    JamiiForums Tanzania GE2010 Chadema kuongoza Halmashauri 13 nchi nzima....................

    Iringa Mjini (Mbunge na madiwani big %)
Back
Top Bottom