Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 220,708
- 728,539
Pamoja na NEC ya CCM kuchakachua matokeo na kumtawaza JK ambaye siyo chaguo letu, imehabarishwa na gazeti MZAWA la leo kuwa Chadema kuongoza Halmashauri 13 na baadhi yake ni Muleba, Arusha, Mwanza, Karatu, Moshi............jazilizeni zilizobaki...............
Ninaomba kuwakilisha..........................
Ninaomba kuwakilisha..........................