Unlocking Huawei EC226 CDMA - Zantel

Unlocking Huawei EC226 CDMA - Zantel

alsaidy

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2009
Posts
334
Reaction score
90
Wana JF

Naombaa kuwasilisha kitu ambacho nimekigundua leo.

Nilikuwa na search uwezekano wa kuichakachua modem ya Zantel EC226. Nilichogundua kuwa modem za kwanza walizoziuza Zantel zote zinatumia CDMA na ndio maana hazina line ingawa sehemu ya kuweka line ipo. Na pia kama utakuwa umefuatila vizuri kata makasha yake yanayokuja na modem hakuna IMEI number kwa sababu sio GSM ni CDMA. Nilijaribu kuichakachua na hizi software zilizowekwa hapa JF zinatoa info.mwisho zinaleta modem error


Hivyo basi nilipopita pote Calculator za ku unlock huawei modem ni zile zinazotumia gsm only kama modem za Airtel,voda na tiGo ambazo zote zinatumia line na network ya GSM.

Ingawa naendelea kutafuta uwezekano wa kufanya uchakachuaji wa modem za Zantel nimeona ni bora hili swala nililete hapa kama kuna watu wana maujuzi na hivi vitu wapate kutusaidia ili tukifanikiwa tuwataarifu wana JF ku enjoy huhuma hii.
 
du wat a gr8 info man...2pe feedback!
 
Tutafutie unlocking software ya hiyo CDMA kama utaweza kupata
 
na mimi na hangaika nayo sana hii ya zantel kwa sasa...nimewaweza kwenye router yao jana ila hii modem ndo bado...ila kuna vi unjanja flani hivi nimevifanya naona kama inaelekea...just be patient guyz...!!
 
CDMA modem ina sehemu ya kuprogram na kuweka namba ya simu bila sim card.so zantel ilifika time waliona ni hasara kuwtumia CDMA line kwani zilikuwa ni elfu 10 kwa moja.
Unaweza kuiflash na kuweka line ya sasatel au TTCL tu apa Tz na iwapo utataka tena kutumia zantel inabidi ununue cdma line ya zantel au uipeleke waiprogram tena.uwezi kuiprogram mwenyewe kwani kuna data za kuweka ndani ya modem na nyingine kuziprogram kwenye mtambo wa zantel (switch)
Kama ni huawei long ktk website software zipo free.
 
Mimi sina mchango kwa hilo, ujuzi wangu ni kidogo sana. Ninaweza pia ku unlock TTCL Fixed wireless terminal CDMA? zile simu za mezani lakini wireless. Naombeni msaada wenu wataalamu. Asante.
 
TTCL na sasatel? Mbma mnanivunja maini?!
 
CDMA modem ina sehemu ya kuprogram na kuweka namba ya simu bila sim card.so zantel ilifika time waliona ni hasara kuwtumia CDMA line kwani zilikuwa ni elfu 10 kwa moja.
Unaweza kuiflash na kuweka line ya sasatel au TTCL tu apa Tz na iwapo utataka tena kutumia zantel inabidi ununue cdma line ya zantel au uipeleke waiprogram tena.uwezi kuiprogram mwenyewe kwani kuna data za kuweka ndani ya modem na nyingine kuziprogram kwenye mtambo wa zantel (switch)
Kama ni huawei long ktk website software zipo free.

Mkuu,

Nashkuru sana kwa very useful information unajua i didn't think hata tukiweza kuichakachua mtu hutoweza kutumia internet ambazo wanatumia GSM Technology.

You are right men itafanyakazi kwa CDMA network only which is TTCL na Sastel as you have said. Kuichakachua hii kitu sio mchezo nimekwenda katika forums nyingine kuchakachua CDMA modems ni tatizo mpaka sasa. Wacha niendelea na mchakato wa uchakachauji wa CDMA
 
CDMA modem ina sehemu ya kuprogram na kuweka namba ya simu bila sim card.so zantel ilifika time waliona ni hasara kuwtumia CDMA line kwani zilikuwa ni elfu 10 kwa moja.
Unaweza kuiflash na kuweka line ya sasatel au TTCL tu apa Tz na iwapo utataka tena kutumia zantel inabidi ununue cdma line ya zantel au uipeleke waiprogram tena.uwezi kuiprogram mwenyewe kwani kuna data za kuweka ndani ya modem na nyingine kuziprogram kwenye mtambo wa zantel (switch)
Kama ni huawei long ktk website software zipo free.

ndugu inakuwaje hiyo line ya CDMA inauzwa Tsh 10,000?? ni nini hasa inakuwa nacho very peculiar mpaka inakuwa ghali hvyo tofauti na hizi line nyingine??
 
hizi kitu za zamani vbaya mnoo!!!
dah i rmbr nilinunua this modem wakati zilivyoingia 2.
mpaka leo bado ninayo ila inatumia Zantel tu,,
but the speed ya modem iko sloww!!!!!it bores!!!
 
Mimi sina mchango kwa hilo, ujuzi wangu ni kidogo sana. Ninaweza pia ku unlock TTCL Fixed wireless terminal CDMA? zile simu za mezani lakini wireless. Naombeni msaada wenu wataalamu. Asante.
Ndugu ebu unaweza ukanipa maujanja ya kunlock hzo FWT za ttcl ninayo ETS1201 nataka ni UNLOCK please..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom