Inasikitisha sana, kusikia CUF wanajiandaa kufanya uchochezi Mtwara. NCCR Mageuzi ilikuwaje hadi mwenyekiti wake akapigwa mawe? CHADEMA hawakukubalika kwenye zoezi la kuvua gamba na kuvaa Gwanda. Inaonesha CUF inakubalika kusini. Pia naamini CUF imewaunganisha Wazanzibari ndio maana leo wanaishi...
HUU NDIO UDINI.
Umoja wa makanisa waikosoa Serikali
UMOJA wa Makanisa Mkoa wa Mwanza, umeikosoa Serikali na kutoa matamko manne ya kuiepusha nchi isiingie katika migogoro isiyo na tija kwa Watanzania.
Matamko hayo, yanayotazamwa na umoja huo kama ni viashiria vya hatari nchini...
Hivi tatizo nini? Tatizo ni lipumba kusema Ponda ashitakiwe Mahakama ya Ardhi? Au kwa kuwa yeye ni Muislam hakustaili kusema hivyo? Augustin Lyatonga Mrema alipata kusema wakati fulani, nikichaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano nitawarudishia Waislamu mahakama ya kazi. Wiki mbili zilizo...
Inasikitisha kwa hilo, lakini mwana CCM hawezi kusema haya:USHAURI WANGU
1. Tuache kuhusianisha migomo na chadema tutazidi kujizika
2. Raisi arudi tena kuongea na ma dr ni watoto wake huwezi kuwakimbia, hili HALIKIMBILIKI MR RAISI
3. Wanaofanya unyama wakupiga watu wakamatwe haraka.
4. Wabunge...
Tuache ushabiki wa siasa, tuache kupenda visivyo pendeka. Tuwe tunapost vitu vinavyo eleweka na tulivyo na uhakika navyo. Mnatuhamasisha tuwaunge mkono kwa lipi? kwa huo mgomo? tuache uanaharakati mnafikiri kushindwa kwa maandamano sasa migomo ndio sababu ya kuona serikali imeshindwa? Mbaya...
Ni mtazamo mzuri kwa mpenda nchi yake. Kichwa cha habari ni kizuri sana, Nakupongeza mtoa mada kwa kuutambua ukweli. Ukweli nami naunga Mkono katika hilo kuwa Wasaidizi wanamuangasha. Mfano mzuri kuhusu posho za Waheshimiwa Wabunge. Jamaa kawaambia Tumieni Busara, wao wamesema kakubali...
Appolo siyo ya viongozi wa CCM tu, hata Mh Zitto aliposumbuliwa na kipanda USO, Mh Spika alisema tutampeleka Appolo. Sisi tu ndio tunaodanganyika eti viongozi lazima wawe wa CCM. Ndio watibiwe nje ya nchi
Inapendeza kusikia wapo kazini. Ila vyema tuseme tuwachangie sasa ili kuwaongezea kipato kuliko hiyo njia uliyosema tuwaunge mkono. mchemko mkubwa sana
Acha siasa mtoa mada, hayo ni sawa na maneno wanayoyasema Wagunge kuwa wanapiga vita Ufisadi kumbe wenyewe ndio mafisadi. Sasa unataka Madaktari wafungue Account watanzania wawachangie wakati hawataki kuwahudumia na wanakufa, Wachangiwe kwa lipi hasa. Hivi umekurupuka au umefikiria? Hivi unaweza...
Jamani hatuitaji kuwaunga mkono Madaktari, tunahitaji kuwaondoa Madaktari walio kwenye maofic ya umma ambao hawaitaji kutuhudumia. Sisi tuandamane kwenda kuwaondoa madaktari kwanza kisha ili wasitumia rasilimali za Watanganyika. Kisha ndio tunaandamana kwenda kwa Deo Mtasiwa, naye aache kula...
Ndugu zangu Watanganyika, nafikiri mmeona kila idara inayohusiana na maisha ya Mtanganyika wa kawaida inakuwa na Mgogoro. Nashukuru na ninaomba wale walizi wa AMANI ya Nchi yetu wasigome. Lakini nina kitu kimoja ambacho napenda kuuliza, Hivi sisi wananchi hatuwezi kuandamana kwenda kuwaondoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.