Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,166
Yani hawa madaktari wamenikosha kweli mwenyewe naumwa hapa lakini niko na vidonge vyangu tu hapa!Mmefanya la maana sana na mna support ya wengi.Tumechoshwa na serikali ya udhalimu na ya waovu
DC ni kweli kabisa, wakirudi kwa mtindo huu wa mabavu na sio kwa mioyo yao basi tusubiri disaster. Yale mambo ya mgonjwa wa goti kufanyiwa upasuaji wa kichwa sasa yatakuwa ya kawaida.Endapo madaktari watakuwa wameamua kurudi kazini, .......nawaonea huruma wagonjwa!! Wataona bora mgomo ungeendelea!
Kama huu mgomo sio wa Appolo Hospital basi serikali ya CCM hauwahusu maana wo wanatibiwa India.
elfu mbili yako itamsaidia nani kujikimu?
elfu mbili yako itamsaidia nani kujikimu?
Kama huu mgomo sio wa Appolo Hospital basi serikali ya CCM hauwahusu maana wo wanatibiwa India.