MUHIMBILI HALI YAANZA KUWA MBAYA-shuhuda kutoka hospitali aongea kwa uchungu

nimeona Mbeya Dr kasema watawasaidia kina mama wajawazito na wale waliokatika hali mbaya wengine tuendelee kunywa Panadol mpaka pale serikali itakapokubali kuwasikiliza
 
sio mihimbili pekee,effect ipo mpaka morogoro.


KCMC leo wameshinda kwenye vikao, wanafanya kusubiri tu kauli watakayopata kutoka MAT watakapokuwa wamekutana na Pinda. Nitawapeni feedback kesho.

Lakini nahisi habari hii inabaniwa sana, maana tangu jana kwenye hii mitandao yetu imekuwa ikisua sua sana. Hata JF niliishaanza kuitilia mashaka, maana haiwezekani habari nyeti kama hii isipate airtime ya kutosha.
 
serikali inaleta siasa na mzaha wa kipumbavu katika mambo ambayo ni sensitive yasiyotaka mzaha. ohoo shauri yao.......
 
nimeona Mbeya Dr kasema watawasaidia kina mama wajawazito na wale waliokatika hali mbaya wengine tuendelee kunywa Panadol mpaka pale serikali itakapokubali kuwasikiliza
madaktari ni watanzania na wanawapenda watanzania,wawapigania watanzania.wananchi waeleweni madaktari.
 
watawala hawaelewi,kwani kwenda kuongea nao wanaogopa nini?

unajua kitu ambacho kipo kimaandishi na wewe huwa unakitekeleza kwa maslahi yako binafsi huku walengwa wakiumia na wamegundua unakuwa huna la kujitetea. Jiulize,kwa nini wizara iite wandishi wa habari badala ya kwenda kuzungumza na walengwa? Waandishi wa habari ndo waliogoma? Watasaidia nini kwenye madai ya docs au wagonjwa? Anajua waandishi hawana data za kutosha kumuuliza maswali, na anajua hawezi kujieleza kuhusu madai yao. Tunataka huduma hospitali ziboreshwe ili kazi zifanyike kwa ufanisi. Kila mwaka wanaleta docs kutoka india kwa mkataba wa ajabu sana aafu wanakaa wiki moja tu wanarudi kwao na hakuna cha maana wanachofanya. Wanawasafirisha kuja na kurudi,wanawalaza hoteli ya gharama,wanawalipa pesa nyingi bado ukijumlisha na 10 percent ya wao. Wakati huo mnh hakuna xray films,hakuna dawa,hakuna prescription form.
 
Wagonjwa wote watapelekwa India!

hawa viongozi wanastahili wasigeuze midomo yao kuwa miku..ndu ya kunyea mavi. Watu wana madai yao ya msingi we unaropoka ropoka tu uharo wowote utakaokutoka. Doctors are not teacherz ambao wengine ni voda fasta,wengine hawana vyeti va shule ukimtishia kidogo tu anakaa kimya. These are highly qualified people within a cream of talented personels,japokuwa wamejitolea kuishi maisha ya shida siku zote wapewe japo haki zao. Tunajua uchungu wa watu kufa lakini post traumatic stress tunazopata kila siku kwa kufiwa na wagonjwa ambao hawakustahili kufa kwa ukosefu wa vifaa vya huduma ni mbaya kwa maisha ya daktari. Ndo maana wengine wanaishia kunywa pombe kupindukia.
 
jana nilienda muhimbili japo si hospital.niliamua kupanda daladala la ubungo.ndani ya basi aliingia mama mmoja mwenye mtt kama wa miezi 4-6.alikuwa amekata tamaa ya maisha,alitueleza kuwa ameamua kuondoka mmuhimbili kwani amekosa huduma.mtt wake alifanyiwa operation ya tumbo na kidonda kilikuwa kinatoa damu na hivyo alihitaji kumuona dkt ili aangalie na kumtibu mtt.yule mama alimfunua mtt na kutuonysha kile kidonda oh it was so sad.kidonda kilikuwa na hali mbaya huwezi kukiangalia mara mbili.mtt alikuwa akilia sana.tulijikuta tumechanga pesa bila hata kuombwa ili kumsaidia yule mama aende kwenye dispensary yoyote ile.jaman mpaka konda alichanga,ujue kuwa hali ilikuwa mbaya.mimi binafsi nililia sana.
eeh Mungu kila alie sababisho la hii issue,umlipe sawasawa na matendo yake.
inauma sana jaman.watu wanatembelea migari ya 200m wqkqti watu hata dawa tu hawana.mimi sijui tunaenda wapi
 
mambo yataharibika pale mgomo utakaposhirikisha wahudumu wengine wa afya.
 
Watawala hawa na nyadhifa kibao na dola ya kwao,hofu ya nini kwenda kuongea na madaktari .Hopeless rulers.
 
Ndugu zangu Watanganyika, nafikiri mmeona kila idara inayohusiana na maisha ya Mtanganyika wa kawaida inakuwa na Mgogoro. Nashukuru na ninaomba wale walizi wa AMANI ya Nchi yetu wasigome. Lakini nina kitu kimoja ambacho napenda kuuliza, Hivi sisi wananchi hatuwezi kuandamana kwenda kuwaondoa wale wanaogoma? maana licha ya wao kugoma bado wanatumia pesa zetu Watanganyika.
 
Huo ni mwanzo,si kwamba madaktari hawaoni uchungu juu ya vifo hivyo,dharau ya JK na serikali yake ndio inayoyaleta yote hayo.
 
Hii nchi itakuwa na laana. Kama sio watu wake ndio wenye laana.
Hakika tumelaaniwa sote. Tukianza maandamano kuwaunga mkono madaktari utaona mtanganyika mwenzio anakupiga kirungu na bomu la machozi utadhani yeye ndugu zake watabiwa india! Aibu aibu...!
Wapi Kinjekitile wa leo atuongoze?
 
Hakika tumelaaniwa sote. Tukianza maandamano kuwaunga mkono madaktari utaona mtanganyika mwenzio anakupiga kirungu na bomu la machozi utadhani yeye ndugu zake watabiwa india! Aibu aibu...!
Wapi Kinjekitile wa leo atuongoze?

Ukianza na wakati maandamano jumatatu hujaona humu
 
Jamani hatuitaji kuwaunga mkono Madaktari, tunahitaji kuwaondoa Madaktari walio kwenye maofic ya umma ambao hawaitaji kutuhudumia. Sisi tuandamane kwenda kuwaondoa madaktari kwanza kisha ili wasitumia rasilimali za Watanganyika. Kisha ndio tunaandamana kwenda kwa Deo Mtasiwa, naye aache kula kiyoyozi cha pesa yetu ya kodi, kisha kwa blandina na Mponda. lakini kwanza tuanze kuwatimua Madaktari wote wanaogoma sasa na kwenye nyumba za Serikali watoke na magari wayaache
 
Back
Top Bottom