Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,157
- 4,456
mkuu unataka kusema nini hapa.?
Ni wacha Mungu wazuri na wamefundishwa vema kumsikiliza kiongozi anapofundisha kitu hivyo kazi kwa CUF itakuwa ndogo sana
mkuu unataka kusema nini hapa.?
sorry nilisahau cuf ni chama cha uamsho
Chama cha wananchi cuf kinapanga kufanya mikutano ya hadhara kesho Mtwara kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kutoa elimu kuhusu gesi. Haya yamesema na Naibu Katibu Mkuu Bara Julius Mtatiro kwenye account yake ya facebook. Mimi naona cuf wako nyuma ya mgogoro huu wakijitafutia umaarufu baada ya kupotea kwenye siasa za Tanzania kwa muda mrefu. Cuf wamewagawa wazanzibar na watanganyika kwa kutumia uamsho sasa wanatugawa watanganyika kwa gesi asilia. Vyombo vya ulinzi vinapaswa macho.
Kibwagizo cha uamsho huko zenj.....Zanzibar kwanza vyama baadayehahaaaaaaaaaaaa! Gesi kwanza Vyama Baadae!!!!
Kwa mara ya mwisho kuonana na dakatari wa magonjwa ya akili ni lini?Kweli serikali ikatoe elimu ikiwaachia cuf wanaotafuta umaarufu tutapa shida siku zijazo
Naomba uwe daktari wangu bintiKwa mara ya mwisho kuonana na dakatari wa magonjwa ya akili ni lini?
kwa hiyo?Alafu Mtwara waislam ni wengi sana.
Kibwagizo cha uamsho huko zenj.....Zanzibar kwanza vyama baadaye
Huo ugonjwa wako umechanganyika na laana za wazazi siwezi kuutibu.Naomba uwe daktari wangu binti
Chama cha wananchi cuf kinapanga kufanya mikutano ya hadhara kesho Mtwara kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kutoa elimu kuhusu gesi. Haya yamesema na Naibu Katibu Mkuu Bara Julius Mtatiro kwenye account yake ya facebook. Mimi naona cuf wako nyuma ya mgogoro huu wakijitafutia umaarufu baada ya kupotea kwenye siasa za Tanzania kwa muda mrefu. Cuf wamewagawa wazanzibar na watanganyika kwa kutumia uamsho sasa wanatugawa watanganyika kwa gesi asilia. Vyombo vya ulinzi vinapaswa kuwa macho.
Ruvuma, Mbeya, Lindi na Mtwara zijitenge kama South Sudan.hivi watu wa ruvuma mapoyoyo au?mbona wako kimya wakati uranium washauziwa wamarekani!!!na uranium inaacha madhara makubwa kwa wakazi jirani kuliko gesi..
Ni wacha Mungu wazuri na wamefundishwa vema kumsikiliza kiongozi anapofundisha kitu hivyo kazi kwa CUF itakuwa ndogo sana
Nani kakwambia laana haitibiki? ukishindwa basi either wewe ni laana au umelaaniwa na unatakiwa umtembelee mzee wa upako mara moja binti. waambie wenzio waache uchocheziHuo ugonjwa wako umechanganyika na laana za wazazi siwezi kuutibu.