Recent content by Icon P

  1. I

    Mwigulu Nchemba: Abdul Nondo alijiteka, alikuwa amejipulizia hadi Pafyum

    Do Dogo ni out spoken.. Kwa mara ya kwanza nilimuona kipindi cha malumbano ya hoja ITV.. Ana kila sifa ya kufanyiwa anachofanyiwa sasa.. Dogo ni threat kwa serikali yoyote ya kipumbavu isiyotaka kukosolewa
  2. I

    Wahenga,Hiz series Time trax,Counterstrike na Renegade mnazikumbuka?ITV asante kwa kutukuza

    PASSION:theresa, ethan, gwen, miguel, luis, sherdan crane, charity, Hank, Ivy, Russel, Tabitha, Timmy.. ... . Was my favourite.. ilifungiwa kuonyeshwa baada ya wabunge kulalamika haina maadili. Nilimind sanaaa. Matrix, Acapulco bay, La Mujer di mi vida, mr cooper, Damon, Bill cosby...
  3. I

    Ujumbe aliotumiwa Julius Mtatiro

    Mara Mtatiro, mara Mbowe, mara Mange Kimambi.. Kuweweseka tu..
  4. I

    Njia Sita za Kumnasa Demu Mkali…

    Hizo mbinu ni kwa demu bikra na asiye na maisha magumu
  5. I

    Humphrey Polepole: Rais Magufuli hafurahishwi na mjadala wa kuongezewa miaka ya Urais kutoka 5 hadi 7

    Yani msemaji wa chama anatumia kitengo cha mawasiliano cha Ikulu kuwasiliana na wanachama wa CCM? Ni makusudi au ushamba.?
  6. I

    Lowassa Kwenda Ikulu Kumpongeza Magufuli, Kilichofanya Kuwa Big News, ni Lowassa na Sio Rais Magufuli!, Why?-Jicho Letu

    Lowasa hawezi siasa za ushindani. Dunia nzima ni very unusual upinzani kusifia chama tawala kwa sababu ya kuepuka kumpa advantage mshindani wako wa kisiasa.. Rejea kauli zake, "zamu yetu kkkt kuwa na Rais" Kwa kauli hiyo Nampe aliitumia kumchapa "mtaangalia vizuri ilani kwenye Internet kwa...
Back
Top Bottom