Kwani nani anaeamua mshindi.?kwani nani amesema atashinda 2020?
Sio ya kuyaamini hadi mda ufike hata kinyume chake pia ni maamuzi.Bora alivyotolea ufafanuzi.....
Sisi wengine tunaona lini atamaliza muda wake aende, halafu miccm eti inataka kumuongezea miaka mingine 2!
Taarifa hii mfikishie Nkamia!Tumechoka na hizi kiki!
Mimi binafsi napuuza mambo yote yanayotoka CCM.Tumechoka na hizi kiki!
Wangemwambia tu in box si ni mtu wao!Taarifa hii mfikishie Nkamia!
Alikuwa anapima upepo sasa kaona watu hawataki hiyo hadithi na hata kumuacha mpaka 2020 ni kwa vile ustaarabu umewajaa tuu, vingenevyo bungeni ingepelekwa hoja ya kutokuwa na imani na yeye na kupiga kura za siri kumng'oaAlikuwa wapi siku zote kukanusha kwa kutoa taarifa rasimi?