Nilikua nampenda renagade na ile ya v wanavaa nguo nyekundu ya kula panya wana ngozi za bandia
daah...umenikumbusha enzi hizo mkuu aisee"Visual more Salma". Nadhani nimepatia neno la Lambert kumuita binti yule, hata sikuelewa yule alikuwa ni nani ila kale ka rimoti kake ndo nilikaelewa.
Reno Lens na Bobby, na ile nyingine ya Chief Justice.....
Ndo kipindi tulikuwa tunaangalia Superman ITV, katuni maarufu kule CTN.
Nadhani bado sijafikia Uhenga...
Ukisema enzi hizo utakuwa unatuzeesha sana, kwani katuni za Tom & Jerry, Himen, Double Dragons, Simpsons, Kimber, Turtles n.k si tulikuwa tunaangalia miaka ya 1994 na kuendelea kabla hatujaanza kuangalia NWO ya kina Lex Luga na Macho men, kisha movie ya V itv, mara Monkey, wakaja Days of our lives, Robocop, Passion, Accapulco, Sunset......kama hivyo yani!daah...umenikumbusha enzi hizo mkuu aisee
hahaha muhenga weweNilikua nampenda renagade na ile ya v wanavaa nguo nyekundu ya kula panya wana ngozi za bandia
V nilikuwa naipenda sana. kuna Walker Texas ranger ya chuck Noris.Nilikua nampenda renagade na ile ya v wanavaa nguo nyekundu ya kula panya wana ngozi za bandia
mkuu hapa nilikuwa nasahau kuogaV nilikuwa naipenda sana. kuna Walker Texas ranger ya chuck Noris.
sisi tulikuwa tunaicheki KBCTexas rangers ilikua channel ten kama sikosei
kuna hii THE BOLD AND THE BEAUTIFUL nilikuwa siipendi kabisaUkisema enzi hizo utakuwa unatuzeesha sana, kwani katuni za Tom & Jerry, Himen, Double Dragons, Simpsons, Kimber, Turtles n.k si tulikuwa tunaangalia miaka ya 1994 na kuendelea kabla hatujaanza kuangalia NWO ya kina Lex Luga na Macho men, kisha movie ya V itv, mara Monkey, wakaja Days of our lives, Robocop, Passion, Accapulco, Sunset......kama hivyo yani!
Ni juzi tu ndugu, usiseme "enzi hizo".....
kwanini?kuna hii THE BOLD AND THE BEAUTIFUL nilikuwa siipendi kabisa
Mama KAYAYII, si ndio kina MASAKUU hao.wale wenzangu wa KBC enzi hizo
THE CROW
WALKER TEXAS RANGERS - Chuck Norris hapa hata kuoga nilikuw siogi
VITIMBI - Mwala,Ojwang,Mama Kayayii