Inawezekana...tunaweza kumuongeza Sidney Sheldon
Na kwa inspirational books
Born a crime ya Noah na Biography ya Steve Jobs are
currently the best kwangu
haurekebishi mhalifu kwa kufanya uhalifu., kiongozi jukumu lakr ni kusimamia sheria na sio kuvunja au kujichukulia sheria mkononi.........
common sense is not common anymore.....
Mkuu hata kwa utaratibu wako wa kufikiri hata kushindwa kuongea kiswahili sio tatizo unaweza kuwasiliana tu kwa lugha yako ya asili na ukatafuta mkalimani afafanue.....
Common sense somitimes matters...now days unaweza kusajili biashara kama stationery but ukafanya zaidi ya kazi hamsini za ziada .., na usidhani kwa uwezo wa Lowasa akafungua biashara inayoingiza laki mbili... acheni uvivu wa kifikiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.