Yule aliyetumbuliwa kule mawasiliano ni darasa la ngapi vile?Polen sana..
Najua inawaumiza sanaaa...
Dr Dau is smart...wewe tokea lin msomi wa madrasa akawa kibaka?
mambeya yanajulikana tu. rohombaya kama jina husika!Hiligazeti ni la Zitto....mchange ndio analisimamia..wote walipiga Hela NSSF
kwa akili ya kawaida yale magazeti mengine uyapendayo yataandika habari hii mbaya kwao? umesahau siku zote ndo yalikuwa mbele kumchafua huyo jamaa?Gazeti gani hili lenye makengeza?
jiulize ana muda gani tangia ateuliwe? sidhani kama ana hata mkataba mmoja ameingia na tenderer yoyote maana ana miezi tu pale. tumia akili kufikiria sio masaburi bwege wewe.Yule aliyetumbuliwa kule mawasiliano ni darasa la ngapi vile?
Ndo maana akili zako zinafanana na nguo za big show
natamani nchi yetu ingejaa wazalendo kama wewe. very positive way of thinking.Sio wakristo kaka, ni washenzi wachache kazi yao ni kuchafua watu mitandaoni na haswa JF kwa faida yao binafsi.. Dr Dau ni msafi na mchapa kazi hilo halina ubishi wwt na wakristo kwa waislamu wanamtambua kwa hilo.. Dini pembeni huyu ni mmoja wa wachapakazi wachache tulio nao nchini.. Keep it up Dr Dau
hawawez elewa hao jamaa maana wana vichwa lakini hawafikirii kwavyo hata kwa yale yaliyowazi kabisa kama hayo.Teh teh teh angekuwa wa kigango nssf kingekuwa kituo cha ufisad ila watu was madrsa wanamuogopa mungu hata esrow kiliusika kiganga watupu madrasa hakuna hata mmoja
hivi wewe bwege mbona unahangaika sana? si mlisema hiyo taarifa mliipata kwenye ripoti ya CAG? sasa tena kwa hayo magazeti yenu uchwara yanakana tena CAG haihusiki? wapuuzi sana nyie.
ile sijda yake ndo tatizo.Mbona wanamchimba sana huyu dr dau.. Ilhali rais hajasema kitu kuhusu NSSF?
jinsi ulivyo bwege badala kusoma ripoti ya CAG unatuletea taarifa za udaku. ripoti ya CAG ipo humu na kila kitu ina page 420. jisomee acha majungu.We utuwekee hapa kama unayo
achana na hao mwananchi maana nao ni walewale tu. soma ripoti yenyewe ya CAG (pg 420) ipo humu. usipende kutafuniwa au kuandaliwa kama akufanyiavyo kabla ya kukuanza.Mkuu hakuna alosema hivyo ila ni kigazeti cha ZZK kinaandika ujinga maana nae ni jipu akiwa PAC na upigaji hela huko Nssf soma mwananchi ndo kwenye taarifa kuwa Nssf hakuna ripoti ya CAG kwa kuwa haikuwa na board
which is which? ufisadi au udini?Haya ni maajabu ya mwaka nssf no fraud!
mbona mwanzoni mlisema ni ripoti ya CAG? au huyu mnaemuongelea ni yupi? au ni kipi kilikuwa chanzo cha taarifa yenu?Ningeshangaa paka kumkamata paka akamla
Asa tatizo ni wewe Abunuwas hata sio mzalendo....natamani nchi yetu ingejaa wazalendo kama wewe. very positive way of thinking.
Mhm ila wataalam wa kulawiti wanafunzi wao!Polen sana..
Najua inawaumiza sanaaa...
Dr Dau is smart...wewe tokea lin msomi wa madrasa akawa kibaka?