ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,950
- 6,981
Ufisadi upo, ila source sina. Kiwanja kununuliwa kwa mil 800 utadhani kipo kariakoo? Mradi wa kigamboni bridge kuwa na thamani kubwa kuliko daraja la china lenye km 41 wakati kigamboni ni m 600 pekee lkn gharama kubwa kuliko la china. Value for money haipo.mbona mwanzoni mlisema ni ripoti ya CAG? au huyu mnaemuongelea ni yupi? au ni kipi kilikuwa chanzo cha taarifa yenu?
Lkn pale ngedere anapopewa kumlinda ngedere kwenye shamba la mahindi