Kwa wanaume wote humu , mazoea hujenga tabia, ulivyo mzoesha mkeo toka mlipokua kwenye relationship mpaka mkaingia kwa ndoa ndio hayo matokeo yake, unakuwa huwezi kumwambia mapungufu mwenzio mpaka inakuwa tabia yake ,muzoeshe kuwa responsible kwa vitu vidogovidogo atazoea tu
Kwa hiyo isingekuwa wameingia kwenye siasa ungenunua hizo bongo movie, na sio bidhaa kuwa mbaya, jamani hii ni Tanzania yetu mi naona ishue ni movie kuwa chini ya kiwango, ni kueleweshana,
Sioni ajabu kunyonyesha mbele ya watu kama mtoto analia na nimejalibu kumtuliza hatulii jamani acheni uzungu inamaana kama mtoto nimetoka nae hospital na nimepanda daladala nisimnyonyeshe mpaka nifike nyumbani?
Mi nadhani sio wote, ila pia nature ya kazi yao kusimama siku nzima sio mchezo halafu anamsimamisha mtu anamjibu vibaya so utakuta wengine wanaofuata, lazima tayari atakua na hasira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.