Habari Ndugu zangu, nahitaji friji size ndogo kabisaa zile zenye watts 90.. Kama unajua wapi naweza zipata mpya kabisa msisite kuniambia na bei zake. Asanteni.
Aisee kweny 3rd ni mie kabisaa,napenda hela balaa halafu ss ni afadhali nizipende afu nitumie,hapana napenda kuwa nazo nikizitazama tu mwee!mh ni selfish vibayavibaya jamani uwii na ni mtu ninayependa uhuru kweli,mh mbona imenilenga
mimi kwann sioti kabisaaa mpaka natamani naona donge nikisikia wenzangu wanaota,mie sioti tatizo liko wapi?na kama ikitokea bahat mbaya nimeota,naota maongez ya ofisini yaleyale ya mchana!!ila kuna mfanyakaz mwenzangu kila mara yy anaota nyoka tuu!!mie sioti,kabla ya hapo nilikuwa nikiota kwa...
mdogo wang nimemchekia profile yake nikaingia katika programme rejection reason,katika vyuo vinne vyote ameandikiwa sababu moja na sababu yenyewe sijaielewa tuuu naomba unieleweshe,yy alipata Udsm lakin first round,sababu yenyew: selected in lowest available priority programme,kwamba hii moja...
hili suala mie nililiona tangia taarifa ya habari ya jumamosi,nikajiuliza vipi mbona sielew kweny taarifa ya habar yao hasa kuhus vyama,nikacheki Itv,aisee niliburudika na taarifa yao maana hata ile ajali ya tazara waliitangaza vizuri,suala la yule mwalimu wa primary morogoro,yani kwa habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.