Ninavyofahamu kitu asili huwa kinatoa matokeo baada ya Muda mrefu, inakuaje huo udongo asili utoe matokeo kwa siku ya kwanza ya matumizi?
bado unao huo udongo........?
Mbeya naweza kuupata wapi?
Temeke unapatikana wapi? weka na namba ya simuTena tiba hii ya asili ina mengi sana ambayo hata kuyaweka hapa naona itakuwa vigumu kueleweka.
Ni vyema sana ukipata wasaa upitie hizi links: Bentonite Clay 101 + 15 Head-to-Toe Bentonite Clay Recipes
Temeke unapatikana wapi? weka na namba ya simu
Piga kwa Bi Salma 0754299855 au 0655299855
Mie niko Nachingwea dada, nitaupataje
naweza kuupataje huo udongo nakaa kigambn ferryInalainisha kuwa nyororo, haitepeti. Ukitumia hata mikunjo kunjo ya ngozi unaiona inafifia inaifanya ngozi kuwa na afya.
Samahani kama ulikuwa hujanielewa.
Karibu sana ujaribu, huu ni udongo mzuri sana kwa ngozi. Nitaleta sifa zake kitaalamu siku za usoni, huko nje wanautumia na unauzwa kwa gharama kubwa sana.
Ni faraja kubwa sana kuwa hapa kwetu upo na sasa tumeweza kuukausha, kwakuwa kwenye vyanzo unapopatikana huwa ni mbichi na huwa na mchanga mchanga na kokoto, tumeweza kuuchuja mchanga na kokoto na tumeweza kuulainisha na kuwa kama poda kabisa na upo katika hali nzuri sana ya kutumika.
Kazi tuliyoifanya ni kubwa sana. Tuunge mkono kwa kuujaribu.
Ndio nahitaji kujuaUkiogea huo udongo ndio hutatumia sabuni??
Naweza kuupataje huo
naweza kuupataje huo udongo nakaa kigambn ferry
Naomba kujua,inawezekana niwe naogea kama sabuni,sihitaji vikorombwezo sijui nipake nisubiri ikauke,embu nijibu pls [HASHTAG]#Zainab[/HASHTAG] Tamimu
Mbona huyo mtu amedai yeye hana udongo? Mpaka wewe ndio utume, mimi nikafikiri yeye anao kabisaPiga kwa Bi Salma 0754299855 au 0655299855
Mbona huyo mtu amedai yeye hana udongo? Mpaka wewe ndio utume, mimi nikafikiri yeye anao kabisa