Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Wakati wa kujiandikisha wapiga kura mimi nilikuwa safari ya kikazi nje ya mkoa wangu hivyo nikajiandikishia hukohuko.
Ulipofika muda wa kubadirisha taarifa mimi nilienda mapema sana nikahamisha taarifa zangu toka mkoa X kuja Z na nikarudisha kitambuklisho cha zamani na kupewa kipya kilichoonesha kituo kipya cha kupigia kura.
Nimeshangaa sana baada ya tume kubandika majina mimi nimeenda kwenye kituo nilipohamishia taarifa jina langu halipo. Naombeni ushauri ndio nimepoteza haki yangu au?
Ulipofika muda wa kubadirisha taarifa mimi nilienda mapema sana nikahamisha taarifa zangu toka mkoa X kuja Z na nikarudisha kitambuklisho cha zamani na kupewa kipya kilichoonesha kituo kipya cha kupigia kura.
Nimeshangaa sana baada ya tume kubandika majina mimi nimeenda kwenye kituo nilipohamishia taarifa jina langu halipo. Naombeni ushauri ndio nimepoteza haki yangu au?