Ingekua watu wanaofanya matukio hawapo kwenye mfumo wa usalama wangekua washakamatwa ni wenyewe wanazogoana wanatuzingua ninachojiuliza shida yao nini.
[emoji23][emoji23]ulijuaje kama wiki hivi niliitwa na dada wa mchumba angu mtarajiwa nilipofika huko nikabanwa na maswali ya ajabu lengo lilikua kujua msimamo wangu kabla sijachukua hatua ya kupeleka barua kwa mshua ake sasa sijui walikua sahii au laa.
Tulishawekewa picha za waharifu wanaofanya hayo matukio vip hawajakamatwa?mimi nalia na mashushuwetu itakua kuna uzaifu sehem wanashindwaje kuwabaini hawa waarifu kwa kipindi chote hicho.
Katika hii ripoti nilikua nawaza mambo (2),Jambo la kwanza endapo bashite angetanjwa basi angeondoka na rundo la watu ili baba kumfariji mwana, na jambo la pili kama bashite hajatajwa utahoji nini kama watumishi hewa wamejazana katika taasisi na mashirika ya uma lengo ni moja tu kuwakata ngebe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.