Hii Timu endapo itamfukuza ETH basi wasije rudia kumpa Timu kocha ambaye ndio anakua au anachomoza katika Career yake/ kocha ambaye hajawahi manage Timu kubwa ,wachezaji wakubwa na hajafeel big moments.
Kwasasa wangetazama zaidi kumpa Timu Hans Flick au Diego Simione. Hawa wawili ni proven...
Wakuu habari,
Samahani kwa wanaolifahamu hili jambo la mshahara wa broadcast technician ni kiasi gani?
Na je, broadcast technician anakuwa anafanya mambo yapi haswaa?
Wakuu habari za leo, naombe kuuliza.
Kuna kampuni ya ujenzi wa minara ya simu ilitoa nafasi ya kutrainee vijana waliosoma halafu itaanza kuwatumia kutokana na tenda zinavyokuja.
But wao kama wao wakasema hiyo kampuni haiajiri bali itamtumia huyo mtu kutokana na kazi zinazotokea kwenye kampuni...
Wakuu nimesoma telecommunication engineering st Joseph University in Tanzania.
Naomba msaada wa kupata nafasi za kazi au kufahamishwa makampuni ambayo yanatoa nafasi za internship na volunteering kwa sector hii ya telecommunication
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.